Recent content by babi

  1. babi

    UVCCM ipo hai? Mimi naona kama imeshakufa

    UVCCM ya wakati huu ipo Imara sana chini ya Katibu Mkuu Kenani Kihongosi. Mpaka sasa ni jumuia pekee ya vijana katika vyama vya siasa Afrika inayongoza kwa Mikakati na Kuisimamia ilani ya Uchaguzi ya CCM. Imevuka viwango vya Kimataifa. Inasimamiwa ns vijana makini ws kimkakati. UVCCM hii si ile...
  2. babi

    Anayemiliki mabasi ya Kilimanjaro ni Tajiri wa ajabu kweli kweli

    Nimesoma huu uzi kwa makini sana, Nilichogundua uzi umekaa kinafiki sana. Na kikubwa ni CHAWA wa Sauli ndiye kaandika hilo gazeti ili kumfurahisha boss wake baada ya kuona Brand ya Kilimanjaro haishuki. Kilimanjaro kaanza ruti za Tunduma Dar sasa anawakimbiza huko wameanza kutafutana. Kaa...
  3. babi

    Zama za Kilimanjaro Express zimeisha

    Mtoa hoja kwanza unazungumzia Kilimanjaro Bus ipi? Moja ya kampuni smbazo zinaongoza na ndio mfumo wake unaigwa na Kampuni zote za Ma Bus ni Kilimanjaro Truck. Huduma zake ni za Uhakika, Hawana historia ya kujaza abiria, kuacha Abiria wala kutoa huduma tofauti na abiria sliyoahidiwa. Katika...
  4. babi

    Kinachofanyika Uhuru Heights ni sahihi kweli?

    Vyombo vya ulinzi na usalama ni vyema kutumia busara na sheria juu ya hili linaloendelea pale Uhuru Height, nimesikia audio hiyo ya ma baunsa wakipeana taarifa juu ya kufanya Invection katika jengo la Uhuru height. taarifa hii inaelekeza tukio litafanyika jumatano ambayo ni siku ya sikukuu kwa...
  5. babi

    Journey of hope to Canaan

    NAWASALIMU
  6. babi

    Journey of hope to Canaan

    LIFE
  7. babi

    Fatma Karume: Sheria inayokataza mapenzi ya jinsia moja imepitwa na wakati

    Dah anatetea ufirauni halafu mashoga kibao huku wana suport huu ujinga Sent from my SM-G980F using JamiiForums mobile app
  8. babi

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Bei Sent from my SM-G980F using JamiiForums mobile app
  9. babi

    JamiiForums Usiku wa manane

    Balaa chuma Kinalia tu huku Sent from my SM-G980F using JamiiForums mobile app
  10. babi

    JamiiForums Usiku wa manane

    Naangalia Movie inaitwa The Harder they Fall" Huku nikivuta shisha magetoni Sent from my SM-G980F using JamiiForums mobile app
  11. babi

    Davis Mosha akusanya zaidi ya milioni 400 kanisa la KKKT-Arusha Mjini

    Hivi hilo neno Don lina maana gani? Sent from my SM-G980F using JamiiForums mobile app
  12. babi

    Davis Mosha akusanya zaidi ya milioni 400 kanisa la KKKT-Arusha Mjini

    Makasiriko Sent from my SM-G980F using JamiiForums mobile app
  13. babi

    Davis Mosha akusanya zaidi ya milioni 400 kanisa la KKKT-Arusha Mjini

    Still anahudumia mpaka kesho, Hizi nyumba za ibada ni one time needs. Nafikiri cha Msingi ni mimi na ww kutafuta pesa si kupangia wengine waliotafuta zao jinsi ya kuzitumia Sent from my SM-G980F using JamiiForums mobile app
  14. babi

    Davis Mosha akusanya zaidi ya milioni 400 kanisa la KKKT-Arusha Mjini

    Amejenga vituo vya watoto yatima, ana Centre zaidi ya 10 anazihudimia Sent from my SM-G980F using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom