FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,039
- 40,701
Kwahiyo ni mimi tu ndio nimegundua kwamba huyo jamaa anatakatisha pesa zake kwa kisingizio kwamba kapewa na rafiki zake kama sadaka kwa ajili ya kanisa? Yaaani ni mimi tu?! Hivi wanatuchuliaje hawa watu, huo upendo wa Mungu wa hivyo unakujaje wakati hata laki ukimdhulumu huyo jamaa inaonekana anaweza kukumaliza.. , au laa inawezekana hizo pesa ni za kanisa ila zinatafutiwa sababu ya kuingizwa kwenye akaunti ya Kanisa, wakiulizwa waseme ni sadaka wamepewa, kumbe wanatakatisha tuAnasura ya kimafia aisee!,type hizi ukikosea tu njia unapigwa mbaya sana