Wasabato Kwa upande mmoja kimaadili wapo vizuri sana ila shida Yao kubwa ni kuamini kuwa watu wote ambao sio wasabato wataenda MOTONI.Pia huamini kuwa Papa ni mwakilishi wa shetani duniani na ukatoliki ni dini ya kishetani .Ni ajabu sana Kwa wao kutokutambua kazi kubwa ya kanisa la RC duniani...
Mkuu Pasko pokea shukurani zangu za dhati Kwa mchango unaoutoa kwenye nchi yetu kupitia taaluma yako ya uandishi wa habari, ambazo mara nyingi huwa Kwa mfumo wa makala ambapo huandika Kwa kutumia facts na kuweka masuluhisho ya makala husika.
Kama serikali yetu ingekua inayafanyia kazi maandiko...
Wizara ya Fedha upunguze riba kwenye mabenki ya biashara Kwa sababu hali iliyopo sio ya kumwinua mwananchi awe mfanyabiashara mkubwa zaidi ya kufilisika. Pia serikali iweke anagalau hata muda wa Miaka miwili Kwa mkopaji kuanza kulejesha mkopo wake.Asanteni sana
Mkuu Figganigga vipi yule sniper wetu Wali anaendeleaje.Pia tunaomba uwe unatuwekea idadi ya askari wa urusi waliokwishakufa na kijeluhiwa kama zamani ulivokua unafanya.Hongera Kwa kuendelea kuletea updates stay blessed.
Ni ujinga mkubwa Sana kuishi na mwanamke/Mwanaume msaliti kwa Sababu kama ukisamegw mwisho wake mtakuja kuuana .Hata Rais mtaafu wa south Africa marehemu Mandela alimpa talaka Winie Mandela kisa usaliti.
Huna akili Yani kwa swala la usalama ndo uilinganishe Tanzania na Rwanda? Vipi hujui hiyo nchi hadi Sasa hivi Ina waaasi? Je huo usalama ni upi unaosemea? Kabla ya kuposti tumia kwanza akili kwa swala la usalama Tanzania inaongoza East and central Africa.Kwa ishu ya usalama Rwanda Hali yake ni...
Mtoabmada upo sahihi kabisa inagawa ni kweli Lisu ana karama ya uongozi lakini kuwa Rais hizo sifa hana .Anajiamini kupita kiasi na kwa huluka yake na maamuzi kumshinda hadi Jpm ni zaidi ya Simba maana haogopi mtu.Sasa kwa Hali ya uongozi hyo Hali sio nzuri .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.