Recent content by Babatunde_seneior

  1. Babatunde_seneior

    Karibu Autorex Garage Iringa

    Ndio nipo jirani. Karibu Sana
  2. Babatunde_seneior

    Karibu Autorex Garage Iringa

    nHabari zenu wakuu kwa aliepo iringa au kama unatarajia kufika iringa. Nakukaribisha autorex garage iringa napatikana Mshindo jilani na benki ya NBC. Huduma zinazo patikana ●Oil change ●kuziba pancha ●kujaza upepo ●kubadilisha matairi Na matengenezo mengine ya gari yako 0755539092 0788887129
  3. Babatunde_seneior

    Kazi nimemaliza

    Jana nilipost kuhusu hii engine kuchanganya maji na oil. Na hatimae leo nimemaliza kurekebisha na engine iko safi haichanganyi tena
  4. Babatunde_seneior

    FUNDI GARI

    Nimekuelewa kiongozi
  5. Babatunde_seneior

    FUNDI GARI

    Asante kwa ushauri
  6. Babatunde_seneior

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Weekend yamaokoto hii tunaendaje kwa kanji leo
  7. Babatunde_seneior

    FUNDI GARI

    Labda huja nielewa mimi ni fundi
  8. Babatunde_seneior

    FUNDI GARI

    Nipo dar maeneo ya bunju
  9. Babatunde_seneior

    FUNDI GARI

    Engine ni 5VZ Ilichanganya oil na maji nipo hapa kwaajili ya marekebisho ya gari. Mimi ni fundi Nipo bunju b dar es Salaam karibu kwa marekebisho ya Gari yako. Pia nafukia popote ulipo 0788887129 0755539092
Back
Top Bottom