Recent content by Babapecha

  1. B

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Usiwe tu unabisha bila kuwa na fact p*mbi wewe na hapa kocha alikuwa ni ole[emoji116][emoji116][emoji116]
  2. B

    Naomba mrejesho kuhusu pikipiki za hero

    Habari wakuu wa jf, kwa wale ambao munatumia pikipiki za hero hunter 125 cc na dawn 125 cc tujulishane changamoto na faida za pikipiki za hero hasa kwenye uimara na upatikanaji wa spare Sent from my itel L5002P using JamiiForums mobile app
  3. B

    Graphic designer anahitajika

    Habari zenu wakuu, kama kichwa cha habari kinavyoeleza hapo juu nahitaji Graphic designer wa kunitengenezea id card inayofanana na hii aliye tayari anicheki 0628505577 Sent from my itel L5002P using JamiiForums mobile app
  4. B

    Je, ni aina gani ya bajaji nzuri kwa biashara hapa Tanzania?

    Wadau wa jf ushauri wenu unahitajika aina ipi ya bajaji inafaa kwa matumizi ya biashara Piaggio Tvs Bajaj Re Mahindra N.k Tupeane ujuzi kuhusu ulaji wa mafuta, spare pamoja na bei zake
  5. B

    Naombeni mrejesho kuhusu pikipiki mpya aina ya Lifo

    Hivi karibuni kuna pikipiki mpya zimeingia zinaitwa lifo zinasifika kwa ulaji mdogo wa mafuta zina Cc 110 kwa wale ambao mmeshaitumia naombeni kufahamu Upatikanaji wa spare Uimara wake N.k
  6. B

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mnaosema 1xbet haipatikani tumieni vpn kwenye (Singapore au Hong Kong) ndo location Nzuri unatumia bila shida
  7. B

    Naombeni Mrejesho kwanini watu wanaisifia sana Carina TI?

    Habari wakuu, nimeona watu wengi sana wanaisifia hii gari lakini najiuliza kwanini haitumiki kwenye uber na Bolt ijapokuwa inatumia mafuta kidogo
  8. B

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Tatizo mnaotumia mastercard mtapata shida sana kutoa pesa 1xbet Visa ndo wanafaa kadi zao zinaruhusu hela kuingia from third-party lakini ukitumia mastercard utahangaika sana
  9. B

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wasiliana na Customer watakupa maelekezo
  10. B

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Bro hapo imekula kwako huwezi ku withdraw kwa mastercard yenyewe hua inaweza kuweka hela lakini kutoa haiwezekani
Back
Top Bottom