Recent content by BabaMorgan

  1. BabaMorgan

    Eti mtaalamu ila ukienda garage kwake unakutana na vyuma zaidi ya kumi vimelala

    Unakuta ila inakuwa nzuri pale wanapopata nafuu na sio kwenda mochwari
  2. BabaMorgan

    Eti mtaalamu ila ukienda garage kwake unakutana na vyuma zaidi ya kumi vimelala

    Unakuta fundi anasifika mtaalamu wakutengeneza Range Rover ila shida ukienda garage kwake unakuta na range kibao zipo juu ya mawe kama mteja unapeleka chuma yako hivi upati wasiwasi kuwa unaenda kuongeza idadi ya range za kukaa ya juu mawe Simple explanation hospital inasifika kwa wagonjwa...
  3. BabaMorgan

    Ukiweza kusimama kwenye daladala ya Mbagala mpaka Mbezi, uwezo wako wa uvumilivu upo juu

    Viongozi wa kisiasa wanaposema wananchi ni wavumilivu wanamaanisha moja ya kipimo cha uvumilivu ni kusimama kwenye daladala mkiwa mmejazana afu hali ya hewa ni joto.
  4. BabaMorgan

    Video: Wakamatwa wakitengeneza 'Oil fake' za TotalEnergies

    Chuma umenunua million kadhaa afu wahuni taratibu wanaharibu
  5. BabaMorgan

    Saikolojia kwanini watu wanaondesha brand za magari yanayofanana wanakuwa na tabia zinazofanana

    Unakuta gari fulani wamiliki wake ni walevi kinoma ukienda kwenye kumbi za starehe unazikuta kibao zimepaki na wanajuana wakikutana stori zao ni bata na kufuta kisahani. Ukiwa road ukakutana na bike ya Sinoray kaa kijanja Hao ni machalii wa chuga wazee wa michezo muda wowote anakuchomekea...
  6. BabaMorgan

    Kuna namna ukiwa unajua kuendesha aina tofauti za usafiri inaleta feelings za kujiona kama mwamba

    Miaka 80 watu walikuwa wachache zama zimebadilika watu wapo wengi saa hivi vyombo vya usafiri vipo vingi sio habari tena watu kujua kudrive kinacho matter ni kujua bila kujali wangapi wanajua
  7. BabaMorgan

    Kuna namna ukiwa unajua kuendesha aina tofauti za usafiri inaleta feelings za kujiona kama mwamba

    Unajua kuendesha 1. Baiskeli 2. Pikipiki 3. Bajaji 4. Gari kubwa na ndogo Kuna namna unaweza kujiona kama umefanikiwa katika zama ambazo vijana wanaogopa barabara sababu ya ajali
  8. BabaMorgan

    Struggle ya kumiliki chombo cha moto na huna basic knowledge ya chombo hicho

    Umestruggle kulima mpunga Igurusi Mungu kakubariki umevuna umepata visenti vyako ukaona ununue zako gari la kurahisisha harakati zako unaweka rekodi ya kuwa mtu wa kwanza kwenye ukoo wa Mwakalinga kumiliki gari Struggle zinaanza kimsingi utajifunza mengi but in hardway bahati mbaya upate fundi...
Back
Top Bottom