Recent content by BabaMorgan

  1. BabaMorgan

    JamiiForums Tanzania Kwaherini JF

    😭 Hii ni mbaya
  2. BabaMorgan

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Tunaomba Serikali ichunguze kwa kina kiwanda cha Lindi graphite technology.

    😂😂 Kampuni inawapa usafiri na chakula bado hamridhiki heri umfadhili mbuzi
  3. BabaMorgan

    JamiiForums Tanzania Ushawahi kufanya jambo gani kwa dhalula likageuka tabia?

    Najua nimekaa Kagera muda mrefu
  4. BabaMorgan

    JamiiForums Tanzania Ushawahi kufanya jambo gani kwa dhalula likageuka tabia?

    Huyo pisi yako asilimia 100 itakuwa imetoka Kagera
  5. BabaMorgan

    JamiiForums Tanzania Unakuta mtu ana roho mbaya na tabia za hovyo afu anajifanya mtu dini

    Watu wa namna hii wanashangaza Sana na kuumiza how come unajifanya innocent kumbe ni devil inside
  6. BabaMorgan

    JamiiForums Tanzania Ukanda wa kimara ( Ubungo mpaka Mbezi Mwisho) Tatizo ni nini?

    Sasa walibomoa nyumba za watu unategemea nini
  7. BabaMorgan

    JamiiForums Tanzania Hivi kweli sheria haisemi chochote kwa mwanamke aliyekuja ghetto na kugoma kutoa mzigo

    Hapo ukiforce bila ridhaa yake ni kosa la jinai ila huyu mtu tumekubaliana kabisa Kuwa akija tunamalizana ghafla kabadilisha maamuzi. Huu si unyanyasaji wa hisia mi nishakula vinavyohitajika kuliwa afu mtu anabania game huu ni ukatili
  8. BabaMorgan

    JamiiForums Tanzania Mt Secilia Makuburi punguzeni kutoa hits kila kukicha.

    Hata wakiacha kutoa hits kama hujui hujui tu
  9. BabaMorgan

    JamiiForums Tanzania Michango ya harusi imekwama, nawezaje kufanya sherehe kwa bajeti ndogo isiyozidi milioni 5?

    Kila mtu na maisha yake ukiwa na mawazo hayo utateseka watu wanatumia zaidi ya million kadhaa bar kwa ajili ya anasa afu unaumizwa na mtu anayeenda kufanya jambo la heri
  10. BabaMorgan

    JamiiForums Tanzania Michango ya harusi imekwama, nawezaje kufanya sherehe kwa bajeti ndogo isiyozidi milioni 5?

    Usd 3000 x 2650 = 7,950,000/= mkuu hela ilikutoka bado
  11. BabaMorgan

    JamiiForums Tanzania Kwanini mawakala wa kufanya mihamala ya simu wanachelewa kufungua ofisi?

    Utakuwa unakaa mitaa ya ndan Sana sehemu zilizochangamka mawakala ni 24/7 wanabadilishana shift
  12. BabaMorgan

    JamiiForums Tanzania Maisha yapo complicated Sana unakuta mabinti wanakukataa ila wake za watu wanakushobokea

    Unakuta unatongoza hata manzi kumi ila zote zinakukazia ila wake za watu wanaanza kukutongoza wenyewe huku si kutafutana ubaya
  13. BabaMorgan

    JamiiForums Tanzania Abiria wanaopenda siti za mbele Wana roho ngumu kinoma

    Hatari Sana nimeziona picha
  14. BabaMorgan

    JamiiForums Tanzania Abiria wanaopenda siti za mbele Wana roho ngumu kinoma

    Sio ubinadamu wa kawaida unakaa siti ya mbele mfano kutoka Dsm to mwz Kila anachofanya dereva unakiona speed kali na overtakes za kujitoa mhanga unaangalia tu na bado upo kawaida tu. Na wakati wa kurudi unawahi tena siti ya mbele. Brother unaweza kuvaa mabomu na kujilipua wewe ni gaidi.
  15. BabaMorgan

    JamiiForums Tanzania Pombe feki zinalipa sana. Walevi jiandaeni na DIALYSIS!

    Wakiona pesa wanajigeuza vipofu na viziwi
Back
Top Bottom