Hapo ukiforce bila ridhaa yake ni kosa la jinai ila huyu mtu tumekubaliana kabisa Kuwa akija tunamalizana ghafla kabadilisha maamuzi.
Huu si unyanyasaji wa hisia mi nishakula vinavyohitajika kuliwa afu mtu anabania game huu ni ukatili
Kila mtu na maisha yake ukiwa na mawazo hayo utateseka watu wanatumia zaidi ya million kadhaa bar kwa ajili ya anasa afu unaumizwa na mtu anayeenda kufanya jambo la heri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.