Kuna Gen Z nilikuwa nae kwa mwaka jana sasa mwaka huu mwanzoni Kuna wahuni wakaweka mguu Kati mi naona katoto kanazidi kupendeza afu dharau zinazidi kishingo upande nikakubali yaishe.
Sasa sijui ni mkosi ama udomo zege kila binti nayejaribu kuapproach nakula za uso sasa ikabidi nirudi rasmi...
We acha Kuna time unajiuliza hawa watu wapo serious kinachoumiza mifumo yao inapozingua wewe mteja unalazimika kulipa storage pale free days zako zinapoisha
We acha tu mkuu tunateseka sana maagent kazi zinakuwa zina presha kinoma atleast wewe umeelewa kinachoendelea lakini wenzako wanawasha moto ukimueleza scenario anaona kama unafanya mchezo just imagine hapo tbs agent anaweza kukaa zaidi ya siku kadhaa na hajafanikiwa ukizingatia Malipo anayopata...
Hapa mtaani Kuna mgogoro umetokea Mume na mke wamepigana makonde usiku huu sasa kilichonishtua ni confidence ya huyu mwanamke
Anamtukana Mume wake matusi ya nguoni kilichonishangaza ni kauli yake eti amuache aishi maisha yake kama amemchoka amuache kwani Kuna Wanaume wengi wanamtaka cha ajabu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.