Recent content by BabaMorgan

  1. BabaMorgan

    JamiiForums Tanzania Kumbe Buza ni sehemu nzuri namna hii

    Kumbe ni sehemu tulivu pazuri kuliko hata Sinza ni watu tu waliamua kutuaminisha ujinga
  2. BabaMorgan

    JamiiForums Tanzania Kuporwa kwa uwanja wa michezo wa Sahara uliopo Ubungo ni uthibitisho tosha la jinsi wananchi wanavyokosa watetezi wa haki

    Over wamezungusha bati tayar, tembono tayar pande zote maeneo watu waliovunjiwa makazi kupisha ujenz wa barabara manyangau yameanza uwekezaji
  3. BabaMorgan

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna watu wameshindikana maajabu hayawezi kuisha

    Huruma sio malezz
  4. BabaMorgan

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna watu wameshindikana maajabu hayawezi kuisha

    Kuna Gen Z nilikuwa nae kwa mwaka jana sasa mwaka huu mwanzoni Kuna wahuni wakaweka mguu Kati mi naona katoto kanazidi kupendeza afu dharau zinazidi kishingo upande nikakubali yaishe. Sasa sijui ni mkosi ama udomo zege kila binti nayejaribu kuapproach nakula za uso sasa ikabidi nirudi rasmi...
  5. BabaMorgan

    JamiiForums Tanzania Je, Ubora wa Maji ya Afya umepungua au kuna uchakachuaji sokoni?

    Unakunywa maji wewe ni mjamzito kunywa konyagi
  6. BabaMorgan

    JamiiForums Tanzania KERO Haya malori yanayopaki barabarani yamekuwa kero

    Uwekezaji huo..
  7. BabaMorgan

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Mfumo wa TBS unasumbua kutoa gari Bandarini, gharama zinakuwa kubwa na zinaangukia kwa mteja

    We acha Kuna time unajiuliza hawa watu wapo serious kinachoumiza mifumo yao inapozingua wewe mteja unalazimika kulipa storage pale free days zako zinapoisha
  8. BabaMorgan

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Mfumo wa TBS unasumbua kutoa gari Bandarini, gharama zinakuwa kubwa na zinaangukia kwa mteja

    Kinachoendelea bandarini Ukiona umefanikiwa kutoa mzigo wako kwa wakati bila changomoto nenda katoe fungu la kumi
  9. BabaMorgan

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Mfumo wa TBS unasumbua kutoa gari Bandarini, gharama zinakuwa kubwa na zinaangukia kwa mteja

    We acha tu mkuu tunateseka sana maagent kazi zinakuwa zina presha kinoma atleast wewe umeelewa kinachoendelea lakini wenzako wanawasha moto ukimueleza scenario anaona kama unafanya mchezo just imagine hapo tbs agent anaweza kukaa zaidi ya siku kadhaa na hajafanikiwa ukizingatia Malipo anayopata...
  10. BabaMorgan

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Leo nimejichanganya kwa malaya Kahama

    Ulikuwa umelewa???
  11. BabaMorgan

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake, hii confidence mnaitoa wapi?

    Mwaminifu kagoma kutoa password kwenye simu
  12. BabaMorgan

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake, hii confidence mnaitoa wapi?

    Kataa ndoa wanaendelea kuvuna alama
  13. BabaMorgan

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake, hii confidence mnaitoa wapi?

    Hapa mtaani Kuna mgogoro umetokea Mume na mke wamepigana makonde usiku huu sasa kilichonishtua ni confidence ya huyu mwanamke Anamtukana Mume wake matusi ya nguoni kilichonishangaza ni kauli yake eti amuache aishi maisha yake kama amemchoka amuache kwani Kuna Wanaume wengi wanamtaka cha ajabu...
  14. BabaMorgan

    JamiiForums Tanzania Kwa nyomi hii naona kama umasikini ni mkubwa sana kwetu

    Na upande wa Clearance bandarini atakuwa anaacha kibunda kirefu ishu ni kweli kinaenda serikalini ama kwenye mifuko ya watu.
Back
Top Bottom