Recent content by Babalulu

  1. B

    Corona: Ali kiba kujitolea PPE 200

    Ni alikiba na samata na asas kupitia samakiba foundation. Ufunguage link wewe mtoa post
  2. B

    Nandy amsifia Zuchu

    Kama ulikuwa hujui nandy nae kaanzia wasafi wcb
  3. B

    Album ya Diamond Vs Album Ya Harmonize Ndani ya AudioMack

    We jamaa unapata tabu sio kidogo kumchukia mondi.yaani unafananisha albam ya mond ambayo nyimbo karibu zote zilikuwa zinajulikana na albam mpya???¿?? Pole sana ndugu yangu sio kwa tabu hizo kutwa kufuatilia mondi amefeli wapi ili upoze maumivu yako
  4. B

    Hebu tuwe wa kweli: Kwa kipindi hiki kila ukiona sura ya huyu mama nini kinakijia akilini?

    Mkwe wa kiba huyo.stress za corona na familia zinamuhusu
  5. B

    Nilichojifunza kilichotokea Kings Music

    Ukisikia tusi kwenye wimbo hapa bongo jua tatizo ni kichwa chako kinavyotafsiri. "Nikupake wese, nesanesa,weka mate niteleze kama nyoka pangoni,etc." Umeona tusi gani hapo kama sio matatizo ya akili yako binafsi?
  6. B

    Nilichojifunza kilichotokea Kings Music

    Mnamkuza sana jamaa kuliko uwezo. Shabiki wa Kiba hawajielewi. Kiba anategemea kiki ila anajifanya kama hategemei hivi. Kumbuka kipindi anataka kutangaza kuhusu ile tour yake kulikuwa na haja gani ya kusema kuwa anatoa tamko rasmi kama sio kutumia ile attention iliyotengenezwa na Diamond...
  7. B

    Producer Bonga out Konde Gang

    Source ;wasafi tv and clouds fm Facebook and YouTube channel Akitengeneza nyimbo kama Niache ya Diamond platnumz Utatulia ya lava lava Na nyingine nyingi za harmonize Sababu anasema ni maslahi
Back
Top Bottom