Mke wangu alipata miscarriage mbili (ujauzito kutoka) ilikuwa haifiki hata miezi mitatu.
Mimba moja ilitoka usiku wa fungate letu baada ya kutoka kwenye harusi.
Hatujawahi kupitia kipindi kigumu kama hicho.
Then akapata ujauzito wa 3, but tukaambiwa upo nje ya mji wa mimba so anatakiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.