Recent content by Babake mwanaidi

  1. B

    Rais Samia, kaimu DSO Kiteto anakuharibia Chukua hatua mapema!

    Mh.Rais najua nimechukua hatua kubwa sana kukushtakia huyu bwanamdogo .anaekaimu Ofisi ya DSO Kiteto .anawaita watumishi Ofisini kwake na kuwatishia kuwapiga, vitisho visivyo na msingi. Amewazuia watumishi kutoka Arusha na longido waliokuja kwenye mafunzo bila sababu za msingi. Hatuelewi hatma...
  2. B

    CHADEMA Nawapongeza Sana, ninafurahishwa na Ukomavu wenu Kisiasa

    Sawa kabisa msidhani kila anaejiunga na chadema ana nia njema wengine wavurugaji.
  3. B

    CHADEMA Nawapongeza Sana, ninafurahishwa na Ukomavu wenu Kisiasa

    Kabisa msivunjike moyo Nafahamu mateso mnayopitia
  4. B

    CHADEMA Nawapongeza Sana, ninafurahishwa na Ukomavu wenu Kisiasa

    Nieleze wazi kabisa mimi ni mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi . Kwanza niwape kongole wenzangu baada ya kumpata Mwenyekiti Mpya Mama yetu MH.Samia Suluhu Hassa. Lengo la kuanzisha uzi huu ni kukipongeza Chama Kikuu cha Upinzani nchini kwa kuonesha Ukomavu wa kisiasa hasa katika uvumilivu wa...
  5. B

    TANZIA Mwanafunzi wa mwaka wa Pili wa Chuo cha Misitu auawa kikatili

    Watoto wa kike muwe waangalifu hasa mnapokuwa masomoni.
  6. B

    Ubora wa Maji ya Kilimanjaro

    Inawezekana .nilikua naongea na jamaa hapa wanasema hivohivo yana chumvi
  7. B

    Kunani kati ya Mchaga na Mhaya humu jukwaani?

    Na kwenye wizi mnazidiwa na nani
  8. B

    Ume date na w/ke au w/ume wangapi?

    Maswali mengine bana
  9. B

    Hali yangu kiafya si nzuri. Maombi yenu Wakuu

    Mikusanyiko nchi hii haijapigwa marufuku.nenda stendi, sokoni watu kibao
  10. B

    Hali yangu kiafya si nzuri. Maombi yenu Wakuu

    Corona ipo acha kusikiliza serikali utakufa wewe.fuata ushauri uliopewa hapaa.
  11. B

    Hali yangu kiafya si nzuri. Maombi yenu Wakuu

    Aanze kupiga dozi tangawizi na mazoezi. Corona ukilala ndio unakwenda inatakiwa kufanya mazoezi kufungua mbavu hizo.
Back
Top Bottom