2019
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 2,982
- 4,457
Binafsi mimi siyo mhaya wala mchaga ila nimeona nyuzi nyingi sana wanakosoana na kutaniana. Jambo la kushangaza zaidi hata kama uzi unahusu mambo mengine akitangulia mhaya kutoa maoni yake ujue lazima mchaga aje kukosoa, mchaga akisema hivi mhaya atakuja kupinga.
Mimi nauliza naomba kujua hasa mabishano haya yanatokea sana mwisho wa mwaka
Boss REDEEMER. luambo makiadi najua nyie mtakuwa wachaga kwanini mnakosoa sana wahaya kuliko makabila mengine?
Wazee wa Katerero instanbul na @Greet haya kwanini hamuoni makabila mengine kama sisi wazaramo mtutanie? Tatizo ni elimu, maendeleo au ni watani wa jadi? Na huo utani umeanza lini?
Ufafanuzi tafadhali, mimi ni mwamuzi
Mimi nauliza naomba kujua hasa mabishano haya yanatokea sana mwisho wa mwaka
Boss REDEEMER. luambo makiadi najua nyie mtakuwa wachaga kwanini mnakosoa sana wahaya kuliko makabila mengine?
Wazee wa Katerero instanbul na @Greet haya kwanini hamuoni makabila mengine kama sisi wazaramo mtutanie? Tatizo ni elimu, maendeleo au ni watani wa jadi? Na huo utani umeanza lini?
Ufafanuzi tafadhali, mimi ni mwamuzi