Asante kwa mawazo ya maana mkuu. mimi ni mtaalamu wa maswala yote ya project managament ( lakini ni Bcom graduate) na nina uzoefu wa kutosha ndani na nje ya nchi. ni kweli sina uzofu mkubwa wa iT kwa maana kwamba mfano siwezi andika CODEs kutengeneza software ila niaweza kusimamia vizuri hawa...
hapana sio uvivu...ni mbinu tu ya biashara maana mimi sina uzoefu mkubwa sana wa sector hii, kwaio ni vizuri nikaendeleza kitu kilichopo na sio kuanza from scratch.
ni kweli lakine mtu mwengine anaeza akauza shares kwa ajili ya kutanua biashara/kampuni.....say kama kuna branch moja na unataka ongeza branch mkoani say dodoma na huna capital ya kutosha
Salama wana jamvi. Natufuta kampuni ndogo ya IT ( creative, software development ilioanzishwa na graduates. Iwe ana wateja tayari wa uhakika na walue iwe imeweza ku breakeven kimapato. Ni-pm kwa mazungumzo zaidi.
Asanteni sana.
USHAURI:
1. Badili staili na utaratibu wa kufanya mapenzi. Usichague kama ni sakafuni, bafuni, kwenye gari, kochi ( watoto wasione). Hii itasaidia sana kwanza ataona unamthamini zaidi na bado unamatamanio kwako ya enzi za uchumba, hili hua pia linasababnisha matatizo kama yako. Pili kuna dalili...
wakina Guninita âwamtiaâ DC Makonda kortini - Kitaifa - mwananchi.co.tz
Dar es Salaam. Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda ametakiwa na Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Kisutu kuwasilisha utetezi dhidi ya madai ya makada wawili wa CCM, John Guninita na Mgana Msindai kuwa aliwadhalilisha...
Na wewe tutakuanika,. Kwani wewe ni msafi sana??mavi tu :disapointed:.....kamjibu na wewe kwa makala za hoja na sio umbea humu ndani...ka vipi kaimbe taarab DARLIVE..huku ni kwa great thinkers tu......
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.