Watu husema jela jeraha wengine husema jela geto la masela
Wengine husema Kuna jela na Gest na eti ukifka Kuna mijeba inakugombania haya maneno Yana ukwel wowote
Na unapaswa uishije ili urudi bado rijali
Utakuta kijana kamaliza chuo halafu ajira Hana na jamii inatambua kua yeye Ni msomi hivo anaona Ni kijidhalilisha kufanya shughuli za kitaa za tofaut na taaluma yake ili apate pesa
Mwisho wa siku anajikuta life linakua gumu Zaid ya hata wasioosoma,me niwaase ndugu zangu tusichague shughuli ya...
Kama kawa baada ya kazi za mchana kutwa huwa tuna refresh mind kwa mitindo tofaut
Binafs huwa napenda muvi hasa tamthilia iitwayo sultana ndani ya azam two
Nadhani kwa wanaofatilia hii tamthilia watakua wanamjua SUMBULA huyu jamaa ananiacha hoi Sana Yan kote kote yupo af kimbelembele balaa
Wakuu,
Nimeamua nianzishe kamtaji kakujiongezea kipato cha ziada maana mashaallah nina kibarua kinaniingizia elf kumi ndani ya saa nne, hivyo najikuta ikifka saa 4 asubuhi nimeshamaliza job nakuwa free. Nimewaza nianzishe haka kabiashara kakusajili line, vocha na vifurushi.
Naomba mwenye...
Mwezi uliopita nilieka kifurushi Cha lite Cha 10000,mwezi huu nikaona nieke Cha 18000 ili nipate channel nyingi Zaid nashangaa imeongezeka azam sport na azam sport 2
Je ndio kawaida au nishaibiwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.