Recent content by baba_la_kichaga

  1. B

    Sababu kwanini Toyota IST inapendwa sana sasa hivi

    Ni gari ngumu sana na body yake ni bati tofauti na nyingine body ni ya plastic Sent using Jamii Forums mobile app
  2. B

    Spear za gari 1 st kwa dar ni wapi zinapatikana kwa bei nafuu

    Habari za jioni wakuu! Nahitaji spear mbalimbali za gari aina ya Toyota 1 st nauliza kwa dar ni wapi naweza pata kwa bei nafuu Sent using Jamii Forums mobile app
  3. B

    Ningependa kujua utaratibu upoje wa mtumishi wa halmashauri kulipwa na mfuko wa workers compulsion fund (wcf) akipata ajali akiwa kazini inakuaje

    Habari za Idi wakuu! Ningependa kujua utaratibu wa fidia kwa mtumishi wa halmashauri kupitia mfuko wa wcf akipata ajali akiwa kazini inakuaje? Sent using Jamii Forums mobile app
  4. B

    Nahitaji vitu gani ili niweze kukata insurance ya gari?

    Copy card ya gari na picha 3 za gari ya mbele,nyuma na chassis number
  5. B

    Azam tufungulieni Channels Zingine kufidia "FTA" mlizoziondoa

    Habari za jioni bandugu!Mimi nipo Moshi kwa sk za hivi karibuni ktk kingamuzi cha Azam channel nyingi za bongo zimekuwa hazionekani.Ningependa kujua sababu nini sanasana
  6. B

    Kubadili rangi ya gari

    Paka rangi ya gar uipendayo pitie kwa vehicle kisha uende tra kwa ajil ya kupata card mpya
  7. B

    Anaweza pata pua ya Toyota 1st

    NB gari ilipata ajali ikaisha upande wa mbele
  8. B

    Anaweza pata pua ya Toyota 1st

    Habari za mchana wandugu! Napenda kujua kama kuna mtu anaweza pata pua ya Toyota 1st tuwasiliane inbox
  9. B

    Mafuta ya taa kwenye chakula mashuleni

    Hii tabia inabidi serikali ifuatilie sana kwa ukaribu kwani bila hivyo watoto wetu watapata cancer baadae
  10. B

    Njia pekee, rahisi na ya uhakika ya kuingia JWTZ

    Wewe kama unataka Jwtz pitia Jkt hamna mkato siku hizi asikudanganye kuwa unaweza ingia bila kupitia Jkt.Bila hivyo sahau kiroho safi
  11. B

    Njia pekee, rahisi na ya uhakika ya kuingia JWTZ

    Usifanye kazi kwa kufuata mkumbo kaka tazama fursa iliyopo uitendee haki mm niko huko na ninajua nini kinaendelea,pia kama hujapitia Jkt usiote kuwa askari wa Jwtz.
  12. B

    Msaada wa channel za Clouds radio FM

    Ila masafa ya 87.9 mhz ndio masafa ya Cloud fm kwa Moshi na Arusha.Moshi inasikika vizuri kwa masafa hayo
  13. B

    Je, toyota IST inafaa kwa safari za mkoani?

    Inatoboa bila wasiwasi na consuption ya mafuta ipo chini sana cha muhimu ni kuzingatia service
Back
Top Bottom