Mbalamwezi1
JF-Expert Member
- Dec 20, 2013
- 2,071
- 2,010
swallamah wakuu....naomba kuuliza,hivi ukitaka kubadili rangi ya gari kuna taratibu gani? Na je, kama kuna gharama inaweza gharimu sh. ngapi? Kwa anayefahamu tafadhali.
Gharama inategemea na rangi unayotaka na garage unayopeleka kuhusu kubadilisha rangi na t.r.a ukabadilishe colour kwenye kadi ya gariswallamah wakuu....naomba kuuliza,hivi ukitaka kubadili rangi ya gari kuna taratibu gani? Na je, kama kuna gharama inaweza gharimu sh. ngapi? Kwa anayefahamu tafadhali.
ThxTaratibu za kisheria ni kwenda TRA ukiwa na kadi ya gari gharama yake nadhani ni 10,000/= kama sikosei. Taratibu za kiufundi ni kulipeleka gereji na kupaka rangi unayotaka gharama inaanzia laki tisa hadi millioni tatu kwa gari ndogo kutegemea na rangi pamoja na kiwango cha upakaji.
Paka rangi ya gar uipendayo pitie kwa vehicle kisha uende tra kwa ajil ya kupata card mpyaswallamah wakuu....naomba kuuliza,hivi ukitaka kubadili rangi ya gari kuna taratibu gani? Na je, kama kuna gharama inaweza gharimu sh. ngapi? Kwa anayefahamu tafadhali.
Uzi huu japo ni wa zamani ila nashukuru umeweza kunisaidia sana kwa leo, ibarikiwe jamiiforums.swallamah wakuu....naomba kuuliza,hivi ukitaka kubadili rangi ya gari kuna taratibu gani? Na je, kama kuna gharama inaweza gharimu sh. ngapi? Kwa anayefahamu tafadhali.
Uzi huu japo ni wa zamani ila nashukuru umeweza kunisaidia sana kwa leo, ibarikiwe jamiiforums.