Recent content by baba2

  1. B

    Maendeleo ya Kaskazini ni juhudi za wananchi kupitia vyama vya wakulima

    Hawa watu naweza kusema wengi wa elements za kizungu ndiyo maana Nyerere alishika hatamu kwa Kilimanjaro miaka ya nyumba niliwahi kuhishi moshi vijijini maeneo ya Kibosho Umbwe kuna mambo makubwa mawili niliona yatofauti kubwa na sehemu nyingine moja wanapenda maendeleo hasa elimu na afya (1)...
  2. B

    Rais Magufuli: Majeshi yanasimama uimara wake ili kulinda maslahi mapana ya CCM

    Huku ni kujisahau mpaka kupitiliza tumesikia kwa RPC wa Arusha sasa mkuu ameamua kudhibitisha sasa yetu macho
  3. B

    Kwanini Mapendekezo ya Makubaliano yetu na Barrick bado hayajafika Acacia ambao Wanazidi Kupata Hasara. Hizi pesa watalipa? Kwa Uwezo Upi?

    Pasco Tundu Lisu alionya sana kwa nguvu zake zake zote hakuna alie msikia lakini kilichotokea tuliimbishwa na kuaminishwa kwamba ni wakala wa mabeberu wanamlipa ili kututia hovu tuogope kufanya kiletulicho kuwa tunafanya matokeo yake alichakazwa kwakuwa alikuwa na nia njema Mungu akamuikoa na...
  4. B

    Kwakuwa Rais wetu anafanya vizuri na wote tunamkubali napendekeza tubadili katiba bunge lisiwepo kwa maana hakuna cha kusimamia..

    Nani hashimu katiba kati ya mwandishi na bunge katiba inasema serekali itaheshimu bajeti itakayo pitishwa na bunge na kama serekali itaitaji hela shariti iombe bunge hata kama ni jambo la dharura bajeti zilizo pita hasa 2016-2017 serekali haikutumia bajeti iliyopitishwa na bunge iliteneza...
  5. B

    Ansbert Ngurumo: Lowassa amegeuka mbilikimo wa kisiasa

    Uzuri umejenga hoja yako vizuri sana bila kumtukana au kumshambulia Hiki naomba CDM mkiepuke sana Sent using Jamii Forums mobile app
  6. B

    CHADEMA wapo uchi bila kujijua huku wakishangiliwa

    Tatizo kubwa chama hakina kiongozi kinajiendea kama gari lisilo na taa usiku na dreva hayubo kila anaendesha anakosea wakiambiwa mnatumbukiza shimoni gari wanakuwa wakali haya sasa Mwenyekiti wamemsahau ndani ni aibu kubwa na nizaidi ya tatizo Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani anawekwa...
  7. B

    Bishop Zachary Kakobe: Mimi si CCM wala CHADEMA, sina kati ya chama cha Siasa hata Kimoja

    Viongozi wa Chadema na wakereketwa wao wanaomtukana Kakobe mmenifundisha kwamba unaweza kufanya mema sana lakini siku usipo fanya wanalo penda watakusulubu kama adui Yesu alifundisha akawaponya Mafarisayo miujiza ikafanyika nyingi siku ya siku wakamwambia Plato asulubiwe walewale waliokuwa...
  8. B

    Lissu akitembelewa na Spika Ndugai atakuwa amemuondolea maumivu!

    Mgelekeza nguvu kuwaandika mafisadi nankufichua mipango yao ya kuibia nchi mgekuwa mmefanya jambo la faida kuliko nguvu mnayo tumia kumtukana Lisu Sent using Jamii Forums mobile app
  9. B

    Nashangazwa na kusikitishwa na wanaoshabikia ziara ya Lissu Uingereza

    Hawa vijana naona wamepewa kazi maalum ya kumchafua Lisu ni ngumu sana kumchafua Lisu ukawa salama kwasababu historia inamlinda Unaposema hana uzalendo anaichafua nchi kwa kitu gani huna tofauti na ule unafiki wa kusema mzazi au ndugu amefanya tendo ovu la ubakaji ndani ya familia mnasema...
  10. B

    Kakobe: "Mimi ni mbishi lakini Rais Magufuli nimemkubali kuwa anaweza" Hizi ni salamu za mwaka mpya kwa Chadema!

    Mtaniambia nani anauwezo wa kumwambia jiwe akae na wapinzani na akakubali nani anaujasiri huo hakuna mwingine ni Kakobe tu ni nani ndani nchi hii anauwezo wa kumwambia Magufuli asipende kusifiwa na watu wote tukijua mzee wetu anavyo penda kusifiwa na imekuwa kawaida usipo msifu unakuwa adui hapo...
  11. B

    Assad vs Ndugai au Uadilifu vs Kupuuzia maadili?

    Naona unajitaidi kudhibitisha kwamba kweli tunatawaliwa na unafiki mpaka imekuwa ni sehemu ya maisha yetu kama kuna mtu haoni kwamba Ndugai na bunge limekuwa la hovyo kupitiliza mpaka limepoteza maana ya bunge basi anatatizo kubwa sana Hili la udini naona nikubwa ila kutokana na unafiki au hovu...
  12. B

    Rais Magufuli, msamehe Mh. Mnyika bure ni utoto tu

    Ndiyo mmekaririshwa hivyo mkileta upupu wenu mtu asiongee ukweli atakuwa anafanya kosa la uhaini poleni sana
  13. B

    Peter Msigwa: Kumbe sio Kila John ni Yohana

    Kuna uwezekano kuna mtu alikaripiwa kwanini uliwapa nafasi ya kuongea ndiyo maana leo hakuruhusiwa mpinzani kupata nafasi ya kuongea ufunguzi wa daraja umetumika kila mwana maccm alieongea kushambulia kwanamna moja au nyingine hoja za Mnyika
  14. B

    Kweli tumechezewa sana,tumeibiwa sana,tumecheleweshwa sana,sasa je waliotenda haya wapo wapi?

    Wapinzani wamegeuziwa kibao kama ndiyo mafisadi wa nchi wakiongea wabaya ni wakina Mbowe sijui waliwahi kuingia mkataba upi Jana mzee katoa mpya ambayo ndiyo sitaili wamekuja nayo sasa hivi kwamba kodi ndiyo zinajenga barabara kodi hizo sikusote hazikuwa zinakusanywa badala ya kusema Magufuli...
Back
Top Bottom