Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Yaani kama wewe ni mgeni Tanzania na hukuwahi sikia na hujui historia ya nchi hii.
Ikitokea ukawasili leo na kuanza kuwasikiliza viongozi wa serikali kuanzia Mh Rais,Mawaziri,Makatibu wakuu,wakuu wa mikoa,wabunge na madiwani hususani wa chama kinachotawala pamoja na viongozi wa chama kinachotawala,lazima utaamini nchi hii kuna chama kimeondolewa madarakani hivi karibuni na sasa tuna chama kipya kimeshika dola.
Maana viongozi wa Chama na Serikali wote wanasema nchi hii imeibiwa sana,imechezewa sana,tumecheleweshwa sana,sasa unajiuliza ni akina nani hawa?
Yaani ukiwatazama viongozi wetu wanavyolalamika unaweza amini wote walioifikisha hii nchi washasukumwa ndani,wanapishana kwenye kuta za mahakama kujibu tuhuma za kutuibia.
Haya mambo hayaaaa.
Kweli tumechezewa sana,tumeibiwa sana,tumecheleweshwa sana,sasa je waliotenda haya wapo wapi?
Ikitokea ukawasili leo na kuanza kuwasikiliza viongozi wa serikali kuanzia Mh Rais,Mawaziri,Makatibu wakuu,wakuu wa mikoa,wabunge na madiwani hususani wa chama kinachotawala pamoja na viongozi wa chama kinachotawala,lazima utaamini nchi hii kuna chama kimeondolewa madarakani hivi karibuni na sasa tuna chama kipya kimeshika dola.
Maana viongozi wa Chama na Serikali wote wanasema nchi hii imeibiwa sana,imechezewa sana,tumecheleweshwa sana,sasa unajiuliza ni akina nani hawa?
Yaani ukiwatazama viongozi wetu wanavyolalamika unaweza amini wote walioifikisha hii nchi washasukumwa ndani,wanapishana kwenye kuta za mahakama kujibu tuhuma za kutuibia.
Haya mambo hayaaaa.
Kweli tumechezewa sana,tumeibiwa sana,tumecheleweshwa sana,sasa je waliotenda haya wapo wapi?