Recent content by Baba wa Mapaka

  1. Baba wa Mapaka

    JamiiForums Tanzania KERO Malalamiko kuhusu ubovu wa barabara ya Kibaha-Pangani–Machinjio Mapya

    Nawasalimu, Nawasilisha malalamiko kuhusu hali mbaya ya barabara ya Pangani–Machinjio Mapya. Barabara hiyo imekuwa katika hali mbaya kwa muda mrefu na haijawahi kufanyiwa matengenezo kwa kutumia greda kwa kipindi kirefu, hali inayowasababishia usumbufu na changamoto kubwa watumiaji wa barabara...
  2. Baba wa Mapaka

    JamiiForums Tanzania Mwanaume ukitaka kuishi na mwanamke kwa amani, mnafikie

    Hawa wana lengo la kudogodesha wapenzi wanaopendana
  3. Baba wa Mapaka

    JamiiForums Tanzania Nimeunda File Server kwa Shilingi Laki 2, Njia Rahisi ya Kuhifadhi na Kuhamisha Mafaili

    Sio vizuri kumsema mwenzako wakati wewe ulichohifanyi kwenye akili huja share nasi
  4. Baba wa Mapaka

    JamiiForums Tanzania Pengine kuna siku tutakutana na wapendwa wetu tena

    Surat Kafirun "Lakum deenukum waliya deeni" Mtume aliwaambia makafiri ...."Nyinyi mna dini yenu, nami nina Dini yangu" Kwenye hili suala la kifo ni fumbo ambalo utatuzi wake upo kwenye imani zetu za dini Mfano mimi naamini tutakufa na kuzikwa kwa muda usiojulikana kisha siku ya Qiyama ambapo...
  5. Baba wa Mapaka

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nahitaji mkopo usio na riba

    Alipaswa kubadilisha tu lugha na kusema anaomba kuazimwa pesa atarejesha.
  6. Baba wa Mapaka

    JamiiForums Tanzania Mamlaka husika zimzuie Rais Samia: Nchi yetu inaelekea wapi?

    Bora tusiuzwe ila vingine wauze tu hatuishi milele hapa
  7. Baba wa Mapaka

    JamiiForums Tanzania Hii UNICEF Promotion imekaaje?

    Za kuambiwa changanya na zako
  8. Baba wa Mapaka

    JamiiForums Tanzania Nimemmiss sana, Hayati John Pombe Magufuli

    Kwani kwa jirani si moto unawaka unashindwaje kumtazama yeye ?
  9. Baba wa Mapaka

    JamiiForums Tanzania Mwanaume asiye na uwezo wa kupata mtoto anahitajika

    Ningekuwa mkristo ningefaa sana hapa
  10. Baba wa Mapaka

    JamiiForums Tanzania Walimu wa Tanzania na passive resistance

    Sizani=sidhani
  11. Baba wa Mapaka

    JamiiForums Tanzania Msaada wa haraka unahitajika

    Hapo uzazi kwisha kama hujapata watoto bado!
Back
Top Bottom