Recent content by Baba wa Mapaka

  1. Baba wa Mapaka

    JamiiForums Tanzania Nimeunda File Server kwa Shilingi Laki 2, Njia Rahisi ya Kuhifadhi na Kuhamisha Mafaili

    Sio vizuri kumsema mwenzako wakati wewe ulichohifanyi kwenye akili huja share nasi
  2. Baba wa Mapaka

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Pengine kuna siku tutakutana na wapendwa wetu tena

    Surat Kafirun "Lakum deenukum waliya deeni" Mtume aliwaambia makafiri ...."Nyinyi mna dini yenu, nami nina Dini yangu" Kwenye hili suala la kifo ni fumbo ambalo utatuzi wake upo kwenye imani zetu za dini Mfano mimi naamini tutakufa na kuzikwa kwa muda usiojulikana kisha siku ya Qiyama ambapo...
  3. Baba wa Mapaka

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nahitaji mkopo usio na riba

    Alipaswa kubadilisha tu lugha na kusema anaomba kuazimwa pesa atarejesha.
  4. Baba wa Mapaka

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimeachwa na mtu ninayempenda sana, nimeshindwa kukubaliana na hali

    Haiwezekani
  5. Baba wa Mapaka

    JamiiForums Tanzania Mamlaka husika zimzuie Rais Samia: Nchi yetu inaelekea wapi?

    Bora tusiuzwe ila vingine wauze tu hatuishi milele hapa
  6. Baba wa Mapaka

    JamiiForums Tanzania Hii UNICEF Promotion imekaaje?

    Za kuambiwa changanya na zako
  7. Baba wa Mapaka

    JamiiForums Tanzania Nimemmiss sana, Hayati John Pombe Magufuli

    Kwani kwa jirani si moto unawaka unashindwaje kumtazama yeye ?
  8. Baba wa Mapaka

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume asiye na uwezo wa kupata mtoto anahitajika

    Ningekuwa mkristo ningefaa sana hapa
  9. Baba wa Mapaka

    JamiiForums Tanzania Walimu wa Tanzania na passive resistance

    Sizani=sidhani
  10. Baba wa Mapaka

    JamiiForums Tanzania Msaada wa haraka unahitajika

    Hapo uzazi kwisha kama hujapata watoto bado!
  11. Baba wa Mapaka

    JamiiForums Tanzania Tusimung'unye maneno, barabara ya Kusini ilijengwa chini ya viwango!

    Bagamoyo Msata angalau kwa kuwa naipita kila mara
  12. Baba wa Mapaka

    JamiiForums Tanzania Haya majina ya vitu kwa kiingereza wengi hawafahamu

    Na hapo hapo teacher wetu alikuwa akija anasema " Watoto .... why are you slumbering sasa nadhani neno slumber ni kusinzia
Back
Top Bottom