Recent content by Baba utam

  1. B

    Hivi unajua kuna koo zilizojaaliwa umasikini??

    ..... Mkuu hili swala lipo nimeliona lakini kunamzee mmoja nili wait kumuuliza nikwanini alini jibu hivi umewai kuisoma biblia? Nikamwambia ndiyo akasema unakumbuka kuna neno linasema mama jusi wamashariki wakiona nyota ya yesu akizaliwa? Nikamwambia ndiyo.akasema hivi nailenyota ilikuwa ninyota...
  2. B

    Niliyoyaona Gereza la Segerea

    Mkuu usini kumbushie mageleza ya tz hayafai binadam kutunzwa
  3. B

    Tanzania magari yaliyotumika nchini yanauzwa bei kubwa kulinganisha na iliyotumika nje

    ...ukitaka kununua ndege tafuta na uwanja wako hahaaaaa
  4. B

    Je, wajua!? Green guard ndio jeshi la akiba

    ...jeshi LA akiba INA maana siraha ya ziada baada ya tegemeo kushindwa duh tunakoenda nimbaali kuliko tuliko toka
  5. B

    Ukiwa Tanga usiwe na haraka

    ...nishawai ambiwa hiyo habari nilijua utani mkuu Leo nimeamini
  6. B

    Kama ulikuwa hujui hizi ndiyo njia kuu tatu alizokupa Mungu kwa ajili ya kufanikisha maisha yako

    Heshima nashukrani nikwake yeye aliye tupa juzi yetu Jana yetu na Leo yetu. tusichoke kumwomba atimize matakwa yake kwetu kama vile atakavyo tuwe natuwe hivyo. Heshima pia kwenu ndugu zangu wana jf kwakuwa watu wenye mchango mkubwa saana kwa inchi yetu na jamii yetu kwa ujumla. Wakuu nimefanya...
  7. B

    Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

    ...hisia nihakili Ila angalia zisikuendeshe mkuu
  8. B

    Ninayo yategemea kutoka kwa Magufuli ndani ya miaka mitano ijayo...

    ..mkuu lisu ana nafasi ndogo sana yakushinda amekuwa na Sera za kujiludia Ludia sjui unalionaje hili?
  9. B

    Ninayo yategemea kutoka kwa Magufuli ndani ya miaka mitano ijayo...

    Nategemea kukamatwa kwa wasio julikana.kwani wamekuwa tishio LA usalama wa taifa letu.nategemea Uhuru wa vyombo vya habari. nategemea kupatikana kwa waliompiga lisasi lisu. nategemea kupewa makazi mapya walio vunjiwa nyumba . nategemea kuanzishwa kwa katibampya. Nategemea kumaliziwa kwamladi...
  10. B

    GE2020 Japo mimi mpinzani Ila CCM wanafanya kampeni za kistaarabu sana mwaka huu

    mh nenda tunduma katembee najez ya chadema karibu na obii uone
Back
Top Bottom