Ni kweli kikuu ni wezi na waongo nimelipia mzigo namba 62003030573 na sijaupata mpala sasa ingawa imeandikwa mzigo delivered na nimejaribu kuwasiliana nao mpaka sasa sijapata majibu,na niliwaambia watume gharama za usafiri nitalipia ingawa waliandika wanatuma popote ndani ya tanzania lakini...
Mimi ni mtumishi wa umma katika taasisi ya utafiti wa viwanda ambaye nastaafu 2025 na ngazi ya mshahara wangu tgs c je naweza pata msamaha wa kodi kwa kuagiza gari nje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.