Recent content by Baba Ndumbwi

  1. Baba Ndumbwi

    Malaika Wanaowasaili Maiti Kaburini ni wawili na wanajulikana kama Munkar na Nakiyr na ni weusi wenye macho kibuluu

    Hilo swali mimi Msafwa naulizwa kwa kiarabu na natakiwa nilijibu kiarabu
  2. Baba Ndumbwi

    Kwa nini jamii ya Waafrika imekuwa nyuma sana katika kubuni na kujenga majengo ?

    Hicho ndicho tumefanikiwa kuiga hadi kuwazidi waliotufundisha
  3. Baba Ndumbwi

    Shuleni kwa mwanangu wanatozwa Tsh. 300 ya usafi kwa mwezi, kwa shule nzima ni pesa nyingi

    Nimewaza tu shule ina wanafunzi 2000×300=600,000 wafanya usafi wako 3=200,000 kila mmoja bado mtu anaamini walimu wanamuibia
  4. Baba Ndumbwi

    Kwanini Afrika ni masikini? Au kuna mnyororo wa kiroho unaotushikilia tangu mwanzo?

    Jenga choo cha kisasa kiwe na maji ya kutosha muda wote ila kisiwe na muhudumu eneo la watu wengi km sokoni au stend njoo baada ya wiki mbili utakuta hakifai kwa matumizi....sasa watu ambao hawawezi kutumia choo vizuri watawezaje kutumia maliasili walizojaliwa kuendelea
  5. Baba Ndumbwi

    Nina leseni Class D, natafuta kazi Morogoro

    Mungu akufanyie wepesi.....but wataalam wa mambo naomba kujua tofauti ya DEREVA II na DEREVA I maana sioni tofauti ya qualifications kwenye matangazo ila kwenye title ya tangazo
  6. Baba Ndumbwi

    Land Rover Discovery 4 - Mega thread

    Una mfumo wa kuileta Bongo au hadi niifate
  7. Baba Ndumbwi

    Land Rover Discovery 4 - Mega thread

    Hlw....kuna uwezekano wa kupata d2 south ya manual ila kabla haijaletwa bongo ibadilishwe engine iwekwe td300
  8. Baba Ndumbwi

    Hawa wachungaji/ MANABII wa makanisa ya kileo yananyoanzishwa kila siku wanaruhusiwa kuzika waumini wao?

    Kuzika hakuna masharti so wanaweza ila kufungisha ndoa thubutuu...
  9. Baba Ndumbwi

    Dollar yaanza kupanda kwa kasi kurudi ilikotoka

    Oook...wataalamu wa mambo ya fedha ni nini kinasababisha pound kuwa na thamani kuliko dollar maana kama ni demand nahisi euro na dollar ni zaidi ya pound
  10. Baba Ndumbwi

    Diamond Platnumz ameshawalipa wafanyakazi wa Wasafi mshahara wa mwezi December. Kwenu mnalipwa mshahara tarehe ngapi?

    Mkuu wa taasisi yetu hajawahi kwenda kuangalia movie kwa P Diddy so hawezi kuiga huo mfano
  11. Baba Ndumbwi

    Ushauri: Malisa na yeye akamatwe kwa kuwa huwa anakusanya michango bila kibali

    Malisa anapewa kibali na familia/mtu mwenye uhitaji
  12. Baba Ndumbwi

    Hivi Tanzania Tunakosea Wapi? Kwamba Uchumi wa Kenya ni mkubwa Mara 2 ya Tanzania?

    Swali lingine......Waingereza wamewekeza kwenye nini Tanzania maana tunawaona Wachina na Wakenya zaidi
  13. Baba Ndumbwi

    Ndugu zangu tusichoke kuichangia TV Imaan, kituo kizima kina watangazaji wanne

    Wamewazidi wakristo kwenye uwekezaji upi? Mashule, vyuo, hospitali, vituo vya afya au vyuo vya ufundi?
Back
Top Bottom