Karibia wote mnasema kama vile mmezoea.! TATIZO mmegeuza tendo hili kuwa starehe hata kukawa hakuna heshima.! yaani muda wowote mnafanya tena nashangaa kuna mtu anadai yeye hunyonya kisimi.! HATA AIBU YA MATAMSHI HANA amekuwa zaidi ya mbwa Looh..! jamani tuwe na kiasi.!
ahsante kwa ushauri, ni kweli alikuwa mbali nami kwa kipindi cha mwezi, sasa hedhi yake ilianza 22 april, 22 mei, 22 juni, kutoka hapo mpaka leo hajapata, nikajipa moyo labda kwa kuwa sikuwa naye kutoka julai hivyo akawa busy kunyonyesha hivyo homoni zikawa juu..! lakini ninapenda kujua...
Habarini Wana Jukwaa,
Mimi nina mke wangu alijifungua kwa upasuaji 0ktoba mwaka jana, sasa kuanzia mwezi Mei mwaka huu alipata siku zake ila imetokea ghafla hajaziona! Hapo kuna nini?
Nisaidieni jamani..
Hili Ndilo Goli La Mkono..! Lakini nashangaa, profesa alidai, huyu amekuwa msafi, systemu ya ccm ndo mbaya..! mnh.., nilipokuwa Dodoma nilimuuliza mzee Mangula, Vipi CCM hii inakwenda wapi..? alisema, "hiki ni chama cha wakongwe, na ushindi hauwapi taabu wakongwe..!" sasa naanza kuamini.! hapa...
wewe ndiyo kuku kabisaaa..! wa kuleta mabadiliko ni wewe siyo mwingine, tena UKAWA maana yake ni nini.? au CCM ni nini.? jitambue, okoa akili yako.! kama unasubiri kuletewa utabaki hapo hapo.! njoo huku kwa WATANZANIA WASIO NA CHAMA (WWC} yaani ni kuwapelekesha hao mamburulaaa.!
Salary Slip
Mh.! alishindwa kumshauri mjomba anasubiri yeye apate nafasi.? ndoroobo.! kama utaongeza mshahara wa mwalimu kutoka 370,000/= kima cha chini hadi 540,000/= hapo poa mwanawane.! walimu 0yeee.!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.