Power G
JF-Expert Member
- Apr 20, 2011
- 3,884
- 1,200
Afadhali UKAWA ni wachumia tumbo, ccm wamebaki kuwa wachumia ma.ta.ko tu.ni kweli kabisa. ukawa ni walafi wa madaraka na wachumia tumbo
Afadhali UKAWA ni wachumia tumbo, ccm wamebaki kuwa wachumia ma.ta.ko tu.ni kweli kabisa. ukawa ni walafi wa madaraka na wachumia tumbo
ni kweli kabisa. ukawa ni walafi wa madaraka na wachumia tumbo
umenena kweli atatoka atajitoa ccm na kuiangusha hiyo ccmni ukweli mchungu na usiopingika kwa namna yoyote kwamba mrithi wa jakaya kikwete ni mwanaccm kindaki ndaki.
Hii inatokana na hali halisi kwamba ccm ina hazina kubwa ya viongozi waliopikwa na kuandaliwa kwa muda mrefu tangu utotoni mwao na sasa wako tayari kubeba jukumu zoto la kuwatumikia watanzania.
Ccm ni tofauti na vyama vya upinzani ambavyo vimejengeka vizuri sana juu lakini ukishuka katika ngazi ya mkoa wilaya na vijijini hakuna watu. Vyama vya upinzani ni vya wenyeviti tu. Mbaya zaidi haviishi migororo ya kugombea madaraka na vyeo.
Ccm ni lulu. Hutaki unaacha
we mtoto acha ungese. Baba zako na kaka zako kibao wameshatangaza nia kwa ulafi tu ya kuelekea magogoni,ni kweli kabisa. Ukawa ni walafi wa madaraka na wachumia tumbo
Hakuna Mtanzania ye yote atakayeshindwa kuwa rais baada ya huyu anayemaliza ngwe yake kuurahisisha urais na hivyo kila mtu kujiona anafaa. Imagine mtu hajawahi kuwa waziri lakini unaibu waziri tu unamfanya atamani urais. Mwingine ni mbunge tu na wala hajawahi hata kuwa waziri mdogo, naye ametangaza nia. Kama.anayemaliza ngwe yake ameweza, basi hakuna Mtanzania atakayeshindwa. Hivi wewe mbona unadharau za kipuuzi? Huoni mwenye hadhi ya urais Ukawa? Bila shaka kigezo chako ni sura. Sisi tunataka mwenye uwezo wa kutuletea mabadiliko kwani hatuna nia ya kupiga picha na rais.
umenena kweli atatoka atajitoa ccm na kuiangusha hiyo ccm
Hakuna mtu aliyezaliwa mpinzani na kwa hiyo ccm wakiendelea kutoa rais hawawaumizi hao unaowaita wapinzani bali kiburi cha wao kuendelea kuwa madarakani ipo siku kitainua hasira na visasi visivyomithilika.Kumbuka hadi sasa kuna watu hawaoni tofauti kati ya kuishi na kifo!Tunaomba Mungu hali isifikie huko ambako ninyi wapenzi wa ccm mnakokuombea mkidhani mnakomoa watu fulani waliozaliwa wapinzaniCCM itaendelea kutoa rais siyo mwaka huu tu , bali hata uchaguzi wa 2020. Wapinzani hawa propaganda zao zisizo na tija kwa wananchi hawana lolote.