Ni miaka sita sasa tangu nianze kuishi Dar es Salaam, wilaya na kata ya Ubungo mtaa wa msewe. Tangu nianze kuishi mtaa huu kila siku mabomba ya maji yanaharibiwa na kusababisha upotevu mkubwa wa maji. Na ha DAWASA wanapokuja kurekebisha kasoro hizo, mabomba hupasuka tena kabla hawajafika makwao...
Ndugu zangu Mimi ni chotora, mwanafunzi msanii chuo kikuu cha Dar es salaam. Ninajishughulisha na filamu. Kwa yeyote mwenye kuweza kilunisaidia naomba kupata mawasiliano ama kukutana na Jimmy mponda (j plus). Kuna filamu nzuri sana inamhusu mawasiliano yangu ni 0717273373 au chotora27@gmail.com...
Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikifikiria lakn majibu sipati. Ivi dhahabu inatumiakaje? Au kwa nini dhahabu ina thamani kubwa kiasi hicho?
Naomba wenzangu mnisaidie, pia kama una swali lolote juu ya aina yoyote ya madini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.