Kwa wale ambao wamfanikiwa je ,n kwasababu wameattach chet Cha jkt au wapo waliofanikiwa bila kuweka cheti hicho?
Majibu tafadhari huku maji yanazidi unga
Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Metl hivi Ni kwamba hufahamu Hali za watumishi wako hasa watanzania au n kwamba umeamua kufumbia macho unyonyaji unaofanywa kwao kwao,??
Inasikitisha Sana kwa kampuni yenye jina kubwa Kama hii na inauoheshimika Sana hapa Africa kutojali maslahi ya wafanyakazi...
Giza nene lazidi kutanda kwa wahitimu wa chuo cha taifa cha usafirishaji mwaka 2017,Utata huo unatokana na uongozi wa chuo kushindwa kutoa majibu ya uhakika na kupigwa danadana ndefu juu ya utoaji wa vyeti kwa wahitimu hao waliohitimu mwezi wa nane mwaka wa masomo 2016/2017 katika Fani ngazi...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza mimi n kijan wa miaka 24 mwenye elimu ya kiwango cha degree ya manunuzi na ugavi, nikiwa na ujuzi mkubwa wa masuala ya mawasiliano na huduma kwa wateja.ninatafuta kazi ya ukondakta katika mabasi makubwa ya mikoani.
Habari zenu wakuu!
Naomba kufahamishwa taratibu na gharama za uagizaji wa mashine ya kutotolea vifaranga toka nje ya nchi zinakuwaje ?
kodi kam zipo ni kiasi gan?
ghrama za bandari pia .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.