Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Metl hivi Ni kwamba hufahamu Hali za watumishi wako hasa watanzania au n kwamba umeamua kufumbia macho unyonyaji unaofanywa kwao kwao,??
Inasikitisha Sana kwa kampuni yenye jina kubwa Kama hii na inauoheshimika Sana hapa Africa kutojali maslahi ya wafanyakazi wake hasa wenye asili ya kitanzania na badala yake imekuwa ikikumbatia wahindi licha ya ukweli kwamba hawana elimu kubwa Wala ujuzi wakutisha.
Uchunguzi mdogo niliobahatika kuufanya ndani ya kampuni hii n kuwa watumishi wa kila idara wanalalamika kwa maslahi madogo kwao ukilinganisha na kiwango Chao Cha elimu na ujuzi (si Jambo la kustahajabu hata kidogo ndani ya kampuni hiyo kukuta mtu anaelimu ya PhD au master kukuta analipwa laki 4 au 5,wakati huo Kuna wahindi wenye certificate bila ujuzi wakilipwa mamilion ya shilingi n maslahi mengine mengi.
Jambo Hilo limekuwa likiwatesa watumishi hao na kushindwa kuwekeza akili Yao kwa ustawi wa kampuni ndio maan hata ubunifu ndan ya kampuni hii umekuwa wa kiwango Cha chini Sana.
Rai yangu;jaribu kuondoka kero hizo kwa kuimalisha kipto Cha watumishi wako kiendan n kiwango Chao Cha elimu.
Wahindi wapunguzwe Kwani kazi zao n wazi zinaweza kufanywa na wazawa hasa wale wenye sifa ambao kimsingi wengine tayari n watumishi ndani ya kampuni yako Ila tu wamefichwa na wahindi.
Inasikitisha Sana kwa kampuni yenye jina kubwa Kama hii na inauoheshimika Sana hapa Africa kutojali maslahi ya wafanyakazi wake hasa wenye asili ya kitanzania na badala yake imekuwa ikikumbatia wahindi licha ya ukweli kwamba hawana elimu kubwa Wala ujuzi wakutisha.
Uchunguzi mdogo niliobahatika kuufanya ndani ya kampuni hii n kuwa watumishi wa kila idara wanalalamika kwa maslahi madogo kwao ukilinganisha na kiwango Chao Cha elimu na ujuzi (si Jambo la kustahajabu hata kidogo ndani ya kampuni hiyo kukuta mtu anaelimu ya PhD au master kukuta analipwa laki 4 au 5,wakati huo Kuna wahindi wenye certificate bila ujuzi wakilipwa mamilion ya shilingi n maslahi mengine mengi.
Jambo Hilo limekuwa likiwatesa watumishi hao na kushindwa kuwekeza akili Yao kwa ustawi wa kampuni ndio maan hata ubunifu ndan ya kampuni hii umekuwa wa kiwango Cha chini Sana.
Rai yangu;jaribu kuondoka kero hizo kwa kuimalisha kipto Cha watumishi wako kiendan n kiwango Chao Cha elimu.
Wahindi wapunguzwe Kwani kazi zao n wazi zinaweza kufanywa na wazawa hasa wale wenye sifa ambao kimsingi wengine tayari n watumishi ndani ya kampuni yako Ila tu wamefichwa na wahindi.