Recent content by Baba Kendrick1

  1. Baba Kendrick1

    Anaehusika na kuset kodi za magari used TRA aangalie vizuri ushuru wa Nissan Leaf 2019 EV nataka ivuta Februari!

    then serikali kupitia LG wajenge charging stations na waweke charges flani ili wapate kodi
  2. Baba Kendrick1

    Ongeza ukubwa wa storage kwenye Flash yako

    mkuu ku compress files ndio kuongeza ukubwa wa flash sio ;) ;)
  3. Baba Kendrick1

    Anaehusika na kuset kodi za magari used TRA aangalie vizuri ushuru wa Nissan Leaf 2019 EV nataka ivuta Februari!

    Kiukweli serikali ilitakiwa itupe jicho kwenye hizi EV kwakua huko ndio dunia ilipo kwa sasa {wapunguze kodi atleast 10% kama ilivyo 254}
  4. Baba Kendrick1

    Ajali tena Ubungo

    dah vyanzo vya ajali ni vingi (ikiwemo uzembe)
  5. Baba Kendrick1

    Mercedes Benz G-class hii machine imesimama balaa

    mbna bei kawaida hyo unajipa presha tafuta ela
  6. Baba Kendrick1

    Uzi maalum kwa ajili ya simu za tecno. Matatizo yake, maujanja na matengenezo

    tecno for Africa boss.....hakuna watumiaj wengne wa tecno tofaut na Africa..
  7. Baba Kendrick1

    Madereva magari ya jeshi(JWTZ) ni janga kubwa mjini!!

    teh teh 255 makarao iko na shidamingi sana hta citizen wanastay kwa taabu mingi na woga
  8. Baba Kendrick1

    Tujikumbushe Mabasi ya abiria ya zamani tokea tupate uhuru

    yupoooo kweli juz tulikua nae maeneo
Back
Top Bottom