Recent content by Baba Jotham

  1. B

    Toyota Allex/Runx namba D inahitajika

    Kama kicha cha habari kinavyojieleza,PM plzz
  2. B

    Nafasi za kazi - computer science tupu

    Hilo tangazo la mwaka 2014
  3. B

    Nahitaj frig Ndogo

    Bajeti 150,000
  4. B

    Ni kwanini ukae ukisubiri fursa? Tengeneza fursa zako mwenyewe

    Mara nyingi wengi wetu tumekaa tukisubiri kuja kwa fursa katika maisha yetu, lakini je ni sahihi kukaa (kubweteka) kusubiri kuja kwa fursa ? Jibu langu - HAPANA. Lakini pia ikumbukwe kwamba kama binadamu unayejielewa hauwezi kuishi kwa kutegemea bahati, (Wengi wetu utawasikia Sina bahati)...
  5. B

    Nafasi ya kazi kwa wanamuziki

    mkiitaji mtu wa kupiga kinanda naomba uniPM
  6. B

    Kwa watumiaji wa Yahoo

    pa moja ndugu,hapo wanataka email na password yako waanze kumiliki account yako
  7. B

    Kwa watumiaji wa Yahoo

    Ukipokea emaili kama hii hapa chini ifute na usijishughulishe nayo Stupid hacker,tena utoto mtupu na ni watanzania wenzetu sina shaka.Share kwa watu wengine wenye ugonjwa wa kuclick kila wanacholetewa ...................................................................... Dear Customer, Recent...
  8. B

    Vipi ni vikwazo katika mchakato wa ajira za Tanzania?

    Ha ha ha ha hapo kwenye "SOMA UTAAJIRIWA, USIPOSOMA UTAKUA NA MAISHA MAGUMU" umegusa sana.Hiyo imeua sana vipaji vya watu
  9. B

    Vipi ni vikwazo katika mchakato wa ajira za Tanzania?

    Post yako ya mwanzo ulisema watu hatuko vompitent,pia ukaongeza watu hawana refa dats y nikakuuliza if upo compitent refa ana msaada gani?
  10. B

    Vipi ni vikwazo katika mchakato wa ajira za Tanzania?

    Tupe mawazo mbadala kaka watu waweze kujiajir na kutengeneza ajira pia.
  11. B

    Vipi ni vikwazo katika mchakato wa ajira za Tanzania?

    r Unahisi refa ana msaada gani wakati mtu upo compitent
  12. B

    Vipi ni vikwazo katika mchakato wa ajira za Tanzania?

    Thanx kaka mkubwa,nitarekebisha nazani kuwa nadhani,tatizo tumezoea viswahil vya mtaani na kufupisha maneno kwenye uandishi na haya ndiyo madhara yake.SHUKRANI
Back
Top Bottom