moderator Naomba uondoe kula yangu kwa sita Tafadhari,kusudio langu ilikua ku click kwa walioba lakini nime click kwa sita,moderatoter ukisoma uzi hu tafadhari naommba ute kura yangu
Asante Mwita Maranya umenikuna nilipo soma post yako sikua na haja ya kuendelea na nyingine,naweza kusema tu kwamba Zitto Kabwe ni muhimu lakini hawezi kuwa mhimu zaidi ya chama,Chama hakiwezi kukumbatia usaliti na kijihesabu kiko salama. ZITO MUST GO,LET HIM GO,viongozi wakuu wana weza kuwa...
Ndg wadau tunashukuru kuendelea kutu unga mkono na kutpa mifano mbali mbali ya jisi wenzetu wengine walivyo pinga na sisi tutasimama kidete mpaka tuone mwisho wake,ni kweli kwamba CHUNYA ina eneo kubwa lakini eneo lake kwa asilimia kubwa ni poli na hakuna idadi kubwa ya watu ikilinganishwa na...
Naunga mkono kidogo kwa sababu hizo ndo pesa wana zikusanya za kutunyongea na ikifika june 30 watafuta tayari watakua wamepata pesa kibao za kununulia vitenge vya kijani wana nchi
Niongezee tu kusema katika siasa ya ushindani ya vyama vingi usitegemee watu wote wakakupenda ama kukupigia kula,hata kama Chadema ingekua peke yake wapo ambao wangesema No or yes,hivyo kwa mazingira yalio kuwepo kwa kweli huu ushindi bado ni kwa kishindo
KWANINI WANA NCHI WA ILEJE WANAPINGA KUIFANYA WILAYA YA ILEJE KUWA SEHEMU YA MKOA MPYA WA SONGWE NA MAKAO MAKUU YAKE KUWA MKWAJUNI CHUNYA. Kabla Rais haja anzisha rasmi Mkoa huo na Wilaya zake kwa kadri atakavyoona inafaa wana nchi wa Ileje wanapinga kuifanya Wilaya ya Ileje kuwa sehemu ya...
KWANINI WANA NCHI WA ILEJE WANAPINGA KUIFANYA WILAYA YA ILEJE KUWA SEHEMU YA MKOA MPYA WA SONGWE NA MAKAO MAKUU YAKE KUWA MKWAJUNI CHUNYA. Kabla Rais haja anzisha rasmi Mkoa huo na Wilaya zake kwa kadri atakavyoona inafaa wana nchi wa Ileje wanapinga kuifanya Wilaya ya Ileje kuwa sehemu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.