Recent content by Baba Joana

  1. B

    JamiiForums Tanzania Benki ya Dunia: Wanaotumia chini ya Tsh. 7,834 kwa siku ni maskini kupindukia

    Ukiona matumizi ni makubwa, ujue pesa imepungua thamani!
  2. B

    JamiiForums Tanzania Mbunge Tauhidi viti maalumu CCM Kalidanganya Bunge Elimu yake ya DIPLOMA , this is Serious !!

    Tanzania sasa inakumbwa na kashfa nyingine kubwa inayogusa uadilifu wa viongozi, baada ya mashaka makubwa kutanda kuhusu elimu ya mmoja wa wanasiasa vijana waliojitokeza kwa sauti kubwa kisiasa katika miaka ya karibuni. Taarifa mpya zimeibua tuhuma nzito kuhusu cheti cha diploma anachodai...
  3. B

    JamiiForums Tanzania Tujikumbushe majibu ya Dkt. Tulia siku Bashe na Sugu walipolalamikia Utekaji na Mauaji

    Kutoka Bungeni DODOMA, April 10, 2017 Mbunge wa Nzega Mjini, Hussein Bashe alisimama kuomba kutoa taarifa kwa Naibu Spika wa Bunge akitaka Bunge lisimamishe shughuli za kawaida na kuanza kujadili matukio ya utekaji watu yanayoendelea nchini. Bashe amesema yeye pia ameshatumiwa ujumbe wa...
  4. B

    JamiiForums Tanzania Tanzania tunatakiwa kuwa na Marefa MAKINI kama yule wa fainali ya Caf - Zanzibar

    Yule nahisi alikula hongo !
  5. B

    JamiiForums Tanzania Wanaharakati wa Kenya wanaishambulia Serikali yetu, Nasikitika kuona watanzania wengi wapo kimya, huu sio uzalendo, tuipende nchi yetu.

    Watu kama ninyi ndio wapumbavu, Kenya wanajitambua, wanapenda nchi yao sio viongozi. Wew unaonekana CCM wakisema uolewe na mwanaume mwenzia, utapiga makofi kupongeza !
  6. B

    JamiiForums Tanzania Wanaharakati wa Kenya wanaishambulia Serikali yetu, Nasikitika kuona watanzania wengi wapo kimya, huu sio uzalendo, tuipende nchi yetu.

    Hawa ndio hawajielewi, wanadhani wananchi huku chini hatupati mateso ya serikali hii, tunapata sana. Lakini ujue kuna vitu vitatu vinavyofanya watu wanakuwa ni wana-CCM lakini hawapendi kuwa wana-CCM, vitu hivyo ni 1. Njaa 2. Upumbavu/Ujinga na 3. Nidhamu ya Woga/Uoga.
  7. B

    JamiiForums Tanzania Wanaharakati wa Kenya wanaishambulia Serikali yetu, Nasikitika kuona watanzania wengi wapo kimya, huu sio uzalendo, tuipende nchi yetu.

    Sikua na lengo la kuandika chochote JF leo, ila ngoja hapa niseme kidogo. Ipo tofauti kati ya Nchi na Serikali, Wakenya hawaishambulii nchi yetu ila wanawashambulia viongozi wa nchi yetu. Uzalendo sio kuwapenda viongozi, uzalendo ni kuipenda nchi, kuwapenda viongozi ni Uchawa, unaopelekea...
  8. B

    JamiiForums Tanzania Magufuli alikuwa Rais hadi umauti ulipomkuta Samia akashika uraisi kwa ile miaka 5, Si bado miaka kumi

    Hapana, kwa mujibu wa katiba mtu atahesabiwa amekaa awamu mbili madarakani kuanzia miaka nane hadi kumi ! Hivyo Samia atakaa miaka 9 kama 2025 atashinda, basi itahesabiwa amekaa madarakani Mihula miwili.
  9. B

    JamiiForums Tanzania Trump kamshtukiza Rais Ramaphosa ndani ya Oval Office

    A Afrika inahitaji viongozi kama Ibrahim Traore !
  10. B

    JamiiForums Tanzania Trump kamshtukiza Rais Ramaphosa ndani ya Oval Office

    Viongozi wa Afrika hamkutakiwa kwenda Marekani kujipendekeza, nchi kama za Afrika zina kila aina ya utajiri, ila wanashindwa kufikiria ni watumiaje huo utajiri !
  11. B

    JamiiForums Tanzania LGE2024 CCM pekee imekamilisha maandalizi ya uchaguzi wa serikali za mitaa Novemba 27, huku vyama vingine vikiandaa visingizio vya kushindwa

    Wale WA vyama vya upinzani Tanzania, wanategemea kugombea uongozi WA vijiji na vitongoji, Tegemeeni kuenguliwa sana, ukipona kwenye kuenguliwa ukagombea basi hata kama mkishinda uchaguzi; hamtatangazwa kamwe, wagombea WA CCM tu ndio watakaotangazwa wameshinda. Ova!
  12. B

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Wanaojadili Urais wa 2030 ilihali 2025 Kuna Uchaguzi mkuu, wanatuonaje Watanzania?

    Leo usiku nimeota CUF imeshinda urais tanzania uchaguzi 2025, ni ajabu !
Back
Top Bottom