Recent content by Baba ilumba

  1. Baba ilumba

    Msaada wa mwenye PDF files za vitabu hivi

    Jamani yeyote mwenye link ya kuvipata vitabu mbalimbali ya Physics kwa class 12/ form six na vinginevyo atusaidie mana kuna link niliona humu mwezi uliopita ka sijakosea Ila saivi sioni. TAFADHALI JAMANI NI MUHIMU SANA LINK HIZO NAOMBENI HATA MWENYE FILES TU YA HIZO VITABU AWEKE HUMU.
  2. Baba ilumba

    Kwanini wanajamii wa jukwaa hili wanaitana wakuu au mkuu?

    Habarini wana jf natumai mu bazimaa Humu ndani tumekuwa na maneno mengi tunayotumia, baadhi yao yamekuwaa common sana humu kama vile; 1.mkuu 2.kimasihara😁😁n.k ONGEZEA NA WEWE MISAMIATI INAYOTUMIKA SANA HUMU TUIJUE.
  3. Baba ilumba

    Watu wakimya (introverts) mnapataje marafiki wa kawaida ukubwani?

    Shughuli inakuja jamii inakuchukuliajee... 1.kiburi 2.jeuri 3.tabia tuu Au vipi tenaa......elimu+maarifa ni nzuri 😹😹hatari sana alafu hustuki wala nini kawaida kwako ndo maana watu wa hivi wakipitia hali Fulani ikawaumiza huwa ni wabaya tena shetani anakaa pembeni......NI WANYAMAA SIO MCHEZO
  4. Baba ilumba

    Watu wakimya (introverts) mnapataje marafiki wa kawaida ukubwani?

    Shughuli inakuja jamii inakuchukuliajee... 1.kiburi 2.jeuri 3.tabia tuu Au vipi tenaa......elimu+maarifa ni nzuri
  5. Baba ilumba

    Watu wakimya (introverts) mnapataje marafiki wa kawaida ukubwani?

    Duuuuh asikwambie mtu mimi kuna wakati hadi nilionekana sio mzimaa kabisaa kumbe bana mambo mengine ni kuwapa elimu watu waelewe watu wako tofauti. NB. Mara nyingine kujumuika na watu kwa jamii kuna faida sana.INTROVERT WELCOME HOME
  6. Baba ilumba

    Sababu zinazopelekea kuongezeka kwa vitendo vya ukatili kwa watoto katika jamii

    Kwa miaka ya hivi karibuni jamii imekuwa ikishuhudia vitendo vingi ambavyo kwa namna moja ama nyingine si vya kingwana kabisa hasa kwa watoto wadogo waliopo chini ya umri wa miaka 15. Sababu zimekuwa nyingi mno zinazopelekea kwa vitendo hivi kuwepo na kuongezeka kwa kasi sana baadhi ya sababu...
  7. Baba ilumba

    Andika mistari yako binafsi ya muziki tuone mkali nani

    WAP mkuu sifany biashara hizo mm ni kujifurahisha tuu ka VP andika hata kwa kilugha chenu😁
  8. Baba ilumba

    Andika mistari yako binafsi ya muziki tuone mkali nani

    Naaanza Mimi Ni asubuhi nimeaamka Mara pa Naona ka sijielewi duuh Kumbe ni J3 mitungi ya Jana Imenichanganya ndo mana hata sielewi Ni noma kwenda mbele siunajua tena wasela ndo ivo 😀😀😀😀😀😀 Tupieni na yenu wakuu tuchekane humu najua wengine sio watunzi wazuri kama nilivyo mm tu ila shuka tu
  9. Baba ilumba

    Salaam za kumbukizi

    We tuma tuu ndugu you never know ukakutana na mtu wako wa muda mrefu humu
  10. Baba ilumba

    Salaam za kumbukizi

    Habarini wana jf ni tumaini langu kuwa nyote mu wazima wa afya kabisa. Leo ningependa tutoe salaam za kumbukizi kwa ndugu,marafiki,wazazi,walezi na wengineo tuliowahi kukutana nao maishani. Nikianza na mimi salaam zangu ziwafikie marafiki zangu wote tuliowahi kuwa pamoja na pia kwa...
  11. Baba ilumba

    Unapenda kumtania nini mpenzi wako?

    😁😁😁😁😁😁uliuaaaaaa hapo mzee
  12. Baba ilumba

    Unapenda kumtania nini mpenzi wako?

    Hiyo lazima uwe unaisema huku unameza maji maana duuuh si kwa utan huo
  13. Baba ilumba

    Unapenda kumtania nini mpenzi wako?

    Siku mola akikujalia utaleta mrejesho
Back
Top Bottom