Michezo huunganisha watu siku zote, sioni ajabu wachezaji wa al ahly kuwapa sapoti wapalestina umesahau msimu wa mwaka wakati urusi inaivamia ukraine klabu zote ulaya hadi na mashabiki walikuwa na mabango uwanjani kupiga kelele dhidi uvamizi ule iweje leo wewe uje na andiko lako eti udini, wewe...
Ni matumaini yangu kuwa nyote ni wazima wa afya,
Ndugu zangu ninaomba kujuzwa kwa wale wazoefu wa biashara ya kwenda Mombasa kufuata vijora ni taratibu zipi natakiwa kuzifuata na mtaji ama kianzio cha biashara na tax pia wanatozaje, naombeni michango yenu na nataguliza shukrani za dhati kwenu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.