Recent content by Baba Ilhaam

  1. B

    Msaada: M-PESA, Tigopesa, Airtel Money inalipaje?

    iko poa sana cha msing ni location na kuwa imara kwan biashara ina challenge nying unapoianzisha! wishng u ol da best mkuu
  2. B

    Selection ya kidato cha tano 2015/2016, wengi kutochaguliwa

    Karibuni chuo cha maji ubungo. Mm niko hapa nasoma mwaka wa pili hapa
  3. B

    Top 10 Habits that make you rich

    Success is loading......!
  4. B

    Yaliyojiri, Mgomo wa Madereva wa Mabasi nchini - Aprili 10, 2015

    Hali ni tete kwa usafiri leo dsm!! Imenibidi nichukue bajaj toka simu 2OOO/sinza mpka maeneo ya posta!! Hali ni mbaya
  5. B

    Water filter yahitajika

    Natanguliza shukraan!! Wakuu naomba kujuzwa ni wap nitapata water filter zile ndogo ambazo zinaweza kuchuja kati ya lita 20-30 kwa siku!! Yahitajika kwa ajili ya matumizi ya nyumbani!! Kama itakuwa TULIP WATER FILTER itakuwa bora!! Niko dsm samahan kwa usumbufu
  6. B

    Maji safi na salama

    Habari wakuu! Poleni kwa majukumu mbalimbali! Niko ubungo Dar es Salaam! Nilikuwa naomba kujuzwa wapi naweza pata maji safi na salama kwa matumizi ya nyumbani(si yale ya akina bakhresa) na itakuwa bora kama itakuwa anafanya kusambaza!! Natanguliza shukraan
  7. B

    Anaweza kusoma kozi gani chuo kwa matokeo haya ya form 4?

    Mpeleke chuo cha maji ubungo(water development and management institute) aje kusoma irrigation engineering miaka mitatu diploma Tembelea www.wdmi.ac.tz
  8. B

    Naomba shauri kuhusu Vyuo vya Ufundi

    Subir post zitoke then zikishatoka aende wizaran fasta!! Askate tamaa kwan kubadilisha kutoka advance kwenda chuo huwa ngumu kidgo!! Namkaribisha sana chuo cha maji ubungo(wdmi)
  9. B

    Mada maalum: Ushauri kulingana na matokeo yako ya kidato cha nne(2014)

    mpeleke college ya afya ama engineering!! Huko uhakika mkuu
  10. B

    Mada maalum: Ushauri kulingana na matokeo yako ya kidato cha nne(2014)

    akasome muda huu hiyo maabara!! Miaka mitatu awa na dilploma kabsa!! Tembelea www.wdmi.ac.tz
  11. B

    Mada maalum: Ushauri kulingana na matokeo yako ya kidato cha nne(2014)

    Me naona bora uende chuo!! Miaka mitatu wapata diploma yako then wachukua jiwe!! Kwann nimesema chuo? Utaweza kusoma na kufaulu vizur bila kuathiri mambo yako mengine tofaut na advance muda mwingi wakupasa uwe wapga kitab
  12. B

    Historia inaonyesha wakuu wa wilaya na wakuu wa mikoa wengi hufa maskini baada ya kuacha kazi

    Binafsi namuunga mkono mtoa mada!! Wengi huishia maisha ambayo ni tofaut na vyeo vyao!!
  13. B

    Jifunze ufugaji wa kuku bure

    Sawa mkuu ntakucheki!!
Back
Top Bottom