Natanguliza shukraan!!
Wakuu naomba kujuzwa ni wap nitapata water filter zile ndogo ambazo zinaweza kuchuja kati ya lita 20-30 kwa siku!! Yahitajika kwa ajili ya matumizi ya nyumbani!! Kama itakuwa TULIP WATER FILTER itakuwa bora!! Niko dsm
samahan kwa usumbufu
Habari wakuu!
Poleni kwa majukumu mbalimbali!
Niko ubungo Dar es Salaam!
Nilikuwa naomba kujuzwa wapi naweza pata maji safi na salama kwa matumizi ya nyumbani(si yale ya akina bakhresa) na itakuwa bora kama itakuwa anafanya kusambaza!!
Natanguliza shukraan
Mpeleke chuo cha maji ubungo(water development and management institute) aje kusoma irrigation engineering miaka mitatu diploma
Tembelea www.wdmi.ac.tz
Subir post zitoke then zikishatoka aende wizaran fasta!! Askate tamaa kwan kubadilisha kutoka advance kwenda chuo huwa ngumu kidgo!! Namkaribisha sana chuo cha maji ubungo(wdmi)
Me naona bora uende chuo!! Miaka mitatu wapata diploma yako then wachukua jiwe!! Kwann nimesema chuo? Utaweza kusoma na kufaulu vizur bila kuathiri mambo yako mengine tofaut na advance muda mwingi wakupasa uwe wapga kitab
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.