Kijan hii ni forum kubwa tu na inaheshimika hata kama baba ako katajwa kuwa mpole tu..huo mtindo wa kuita watu Mama, shangazi warembo hautakufikisha mbali ....u have to grow.....
WHAT MAKES A GOOD CV?Preparation is everything when applying for a new role. BABA GK company has developed some guidelines to help you write a CV.
The Importance of a Great CV
To introduce and differentiate yourself and your skills
Your CV is your own personal marketing tool and is your...
Nakubaliana na wewe mkuu ningeshauri wa visit www.brela-tz.org. for fees and all procedures for company registration...then kikwete fund will follow...:smile-big:
Aisee pole sana mdau, lakini usikate tamaa nazan Mungu anakuandalia mpango mnene, unaonaje ukafikiria nje ya box ..hapa namaanisha ukafanya kazi yoyote ambayo ujasomea.. may be kulima au kufanya kazi yoyote ilimradi uingize kipato but all in all experiences hata mi inani bore:bored: kwa new...
Mdau nimekusoma, kuna point nzuri sana hapa labda tubadilishe mitahala iwe in bas sana kwenye practical oriented na sio theory oriented na interview ziwe za swahili may be itasaidia pia..:smile-big:
What is solution?? Wadogo zetu /ndugu zetu wengi tu wanakosa kazi eti kwasababu ya experiences sasa mtu ulikuwa unasoma experience utaipata wapi??Nazungumzia experiences ya miaka 5 na above?? Tufanyeje wadau, changia hoja..
Kweli vizazi vijavyo vitatulaumu na kuna geneious mmoja wa zamani alisema Tatizo sio viongozi wetu wanaofanya madudu bali ni wananchi wanaoongozwa wanaokaa kimya na kuangalia hayo madudu bila kuchukua uamuzi wowote, kwahiyo hakika vizazi vijavyo vitatulaumu tusipochukua hatua.
Ebu tu assume kama GVT hakuna , sisi kama sisi wananchi wa kawaida lakin wenye uwezo sawa na wakenya wanaoajiliwa tufanye nini kwanza??? Tukishatoa maamuzi au tamko hapo baadaye ndo tuje tuishauri GVT....Unaonaje hapo mdau:A S-confused1:
Safii ujachelewa mdau..jitahidi muunde kikundi then kisajilini serikalini..after that u can even write winning proposal and ask for donor fund.. I am asured you there is a lot of NGO;S Bank with a lot of money waiting for you guys..Wake up Think out the Box
Hauko makini, unatakiwa ufate utaratibu wa kilimo bora na kabla ya kulima unatakiwa uwe na basic needs kama mbegu bora, madawa ya kuulia wadudu, na hakikisha upatikanaji wa maji kwa ajili ya kumwagilia( nafahamu labour na land kwa TZ sio tatizo sana), sio unakurupuka tu na pia ningekushauri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.