Kijana wao hafundishwi kumezea ya OVYO.
Hahahah ,maadili gani? Wajumbe wa kamati ya maadili ya CCM ni waking nani ? Nasi tufanye tafiti za uadilifu wao kwanza.
Siasa za kizamani sana za kijiji kimoja CCM wanapaswa kuachana nazo ......
Faida ya haya wanayoyafanya Cdm, ni ya kizazi kijacho. Kizazi hiki cha leo kitajifunza umuhimu wa uhuru na ni wapi sehemu sahihi ya kupaza sauti zao.
Mabango yote yanareflects yaliyomo . Wananchi wasio na simu janja, wanapata fursa ya kushuhudia LIVE nguvu ya umma kipitia maandamano.
Hao ndiyo top-down leaders (Anajiangalia yeye na wanaomzunguka. Akisifiwa tu na Jk na Kinana anahisi amefiti kwenye uongozi na kusahau kero za wananchi)
Tunahitaji down-top na ndiyo mfumo mzuri wa utawala sehemu yeyote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.