Recent content by BABA Dillish

  1. BABA Dillish

    Mamelodi vs Esperence, Mechi Imesimama Radi Kali Uwanjani

    😝😝😝😝😝😝😝
  2. BABA Dillish

    Natamani Sana Rais Samia angemteua Dkt Shukuru Kawambwa nafasi yoyote ile serikalini au Chamani

    Unafikiri vijana wa CCM wanafahamu kuhusu required qualifications ambazo ni competitive advantage? Wao ni kutia huruma ,uchawa ndio sifa za uteuzi.
  3. BABA Dillish

    Shukuru Kawambwa kwenye Kashfa ya Udalali wa Viwanja

    Na deal za kichama zimeisha
  4. BABA Dillish

    Usiende kukopa kwa hizi kampuni maarufu za mikopo hasa kwa Watumishi wa Umma

    Hao ukisaini makato ya 128,000 per month unakuta wanakata 156,000 Aisee hawa ni wapuuzi sana.
  5. BABA Dillish

    Figo zimefeli ghafa umri miaka 37

    Ukijua mapema anza dozi upo sahihi mkuu
  6. BABA Dillish

    RC Makonda atinga Makao makuu ya CCM Dodoma Kuhojiwa

    Kijana wao hafundishwi kumezea ya OVYO. Hahahah ,maadili gani? Wajumbe wa kamati ya maadili ya CCM ni waking nani ? Nasi tufanye tafiti za uadilifu wao kwanza. Siasa za kizamani sana za kijiji kimoja CCM wanapaswa kuachana nazo ......
  7. BABA Dillish

    Kagera : Yaliyojiri kwenye Maandamano ya Amani yaliyoandaliwa na Chadema

    Faida ya haya wanayoyafanya Cdm, ni ya kizazi kijacho. Kizazi hiki cha leo kitajifunza umuhimu wa uhuru na ni wapi sehemu sahihi ya kupaza sauti zao. Mabango yote yanareflects yaliyomo . Wananchi wasio na simu janja, wanapata fursa ya kushuhudia LIVE nguvu ya umma kipitia maandamano.
  8. BABA Dillish

    Ujumbe kwa Dkt. Nchimbi - Cheo chako Hukitendei haki

    Hao ndiyo top-down leaders (Anajiangalia yeye na wanaomzunguka. Akisifiwa tu na Jk na Kinana anahisi amefiti kwenye uongozi na kusahau kero za wananchi) Tunahitaji down-top na ndiyo mfumo mzuri wa utawala sehemu yeyote.
  9. BABA Dillish

    Makonda ona aibu, wenzako hawafoki wala kutishia watu

    Muache ajitafutie njia ya kujitofautisha na wajinga
  10. BABA Dillish

    Ukitaka kujua hii nchi bado iko kwenye lindi la umaskini angalia aina vyakula vinavyopikwa/kuuzwa mitaani!

    A society is said to be developed if SAFE AND NUTRITIOUS FOOD IS AVAILABE. 😝😝😝😝
  11. BABA Dillish

    Mkosoaji wa Serikali ‘aliyetekwa’ siku 5 zilizopita Mbeya apatikana Igunga

    Si hawajitambui hao. Huu ni mfumo kila awamu unaubeba .
  12. BABA Dillish

    Watanzania waliopata umaarufu wa ghafla mitandaoni na kisha kupotea

    Jamaniiìiiii wajumbeeeee,wajumbee watu wabayaaa ,Liquid konki master mzazi wa Nandy kwenye tamthilia ya HUBA 😝😝😝😝😝😝
Back
Top Bottom