Kabsaa kabsaa Yani propaganda ni nyingi sana
Nimemkumbuka propaganda za Enzi za Hayati Jpm. Huyu ndiye muasisi wa propaganda tunazoendelea kuziona nyakati hizi za sasa
Angedai haki ya mtoto kuliko kupenyeza tuhuma za Mwalimu zisizo na ushahidi.
Any way. Ujumbe umefika na nahisi mpaka amefikia hapa Ina maana mwl huyo kweli ni mbabe haswa.
AI mwenyewe kama huna knowledge kiasi na kitu unachomuuliza imekula kwako.
Kuna muda anadanganya kabsaa mpaka umkosoe au kumsahihisha ndiyo anashtuka😃😃
Ugonjwa wa Afya ya Akili hapa Tanzania tunauchukulia poa sana.
Mtu kama huyo hata mkimhukumu kunyongwa hauzuniki Wala kuomba msamaha. Yeye anahiso ni kawaida tu wafanye wanachotaka kufanya.
Kuna siku nilikuwa namsimulia rafiki jinsi ninavyochukizwa na matendo ya jirani yangu. Jamaa baada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.