Recent content by BABA Dillish

  1. BABA Dillish

    Ali Kamwe hafai tena kuwa msemaji wa Yanga

    Hii ya kupiga kichwa ni ya Ali K? 😆😆 Anawaumiza wenzake mana huko Unyamani wameanza kuandaa mkongo,mihogo,karanga,nazi n.k
  2. BABA Dillish

    Simba wanamtangaza Diadora bure, viongozi hawajui thamani yao

    Hahahah ana uchungu mwingi
  3. BABA Dillish

    Nani alivujisha jezi za Simba, Uongozi wa simba mmechukua hatua gani Kulinda hadhi na hatimiliki za kilabu?

    Zinavuja za timu kubwa za Ulaya sembuse SSC? Mi sioni tatizo lolote lile kwakuwa haikuharibu biashara
  4. BABA Dillish

    Mbona Bei ya Kofia ya Mamelody (48,000tshs) ni sawa na bei Jezi ya SImba

    Anajifabya anajua tu mambo mengine lkn Hana hoja kwa SSC
  5. BABA Dillish

    GE2025 Kupiga marufuku Hospitali kuzuia maiti nayo ni maendeleo? Samia punguza umasikini haya yataisha automatic

    Hizo Ahadi ni kwa walalahoi na poverty victims +uneducated society
  6. BABA Dillish

    GE2025 Ummy Mwalimu: Nimepokea uamuzi wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC) kwa moyo wa shukrani

    Pamoja na yote kama wamemuachia Vyeti vyake vya kitaaluma basi Haina shida😆 Siasani ukipachikwa ni rahisi kupachuliwa hakuna makazi ya kudumu.
  7. BABA Dillish

    Kwa miaka 5 Polepole alizunguka nchi mzima kuinadi CCM na Magufuli, upinzani walikatazwa kufanya siasa 2020 bado wakapora uchaguzi

    Mnazidi kukichafua Chama. Ukiwa na hoja ya kumpinga Polepole ni kama unakichafua Chama kilekile sio Upinzani. MwanaCCM unapataje nguvu,uwezo na akili ya kuwa against Humphrey PP? It's CCM against CCM ,vijana tumieni akili kiasi
  8. BABA Dillish

    Hawa watu wanaochimba visima bila malipo wenyewe wanapata wapi faida?

    Cha Bure siku zote ni Gharama kubwa au mateso
  9. BABA Dillish

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Duh labda ya 2010 yamejirudia
  10. BABA Dillish

    Yanga yapeleka utetezi FIFA katika skendo ya kujiingiza katika siasa

    Hahahah kwenye maarifa mpo sifuri labda kule uwanjani
Back
Top Bottom