Recent content by BABA Dillish

  1. BABA Dillish

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Ulinzi wa Israeli, Israel Katz: aiambia Iran kuhusu Ali Taher Ridge kuwa hilo ni eneo la usalama!!

    Aisee! Ukisogea unaangamizwa vibaya sana
  2. BABA Dillish

    JamiiForums Tanzania Kocha wa Gaborone apigwa ngumi: TFF Ichukue Hatua Kulinda Taswira ya Tanzania

    Ili mradi PUNDA ASONGE MBELE? SIO FAIR PLAY
  3. BABA Dillish

    JamiiForums Tanzania Katika picha: Mkuu wa Majeshi ya Israel akielezea jinsi walivyoangamiza miundombinu ya kigaidi ya Hezbollah huko Ali Taher Ridge!!!

    Alafu kule Hormuz Kuna Kuna blockade Kwa Sponsor wa ugaidi. US-ISRAEL WAMEFANIKIWA PAKUBWA
  4. BABA Dillish

    JamiiForums Tanzania KERO Mchezaji wa Simba anatumia jina langu, ananiambia nikashtaki popote

    Wabadilishane majengo ya serikali huyu jela yule mochwari😆😆😆😆😆
  5. BABA Dillish

    JamiiForums Tanzania EFM Radio: Kocha anayelawiti na kulawitiwa na vijana achukuliwe hatua

    Dah! Inasikitisha sana
  6. BABA Dillish

    JamiiForums Tanzania Taharuki Uingereza: Msako wa Usiku Manchester Wawatia Hofu Watu wa LGBTQ+

    YBWYB😆😆😆
  7. BABA Dillish

    JamiiForums Tanzania Ndege ya kijeshi ya Marekani ikiwa na Mkuu wa CIA yatua Moscow

    Yes! You're right 👍
  8. BABA Dillish

    JamiiForums Tanzania Jambo zito kisiasa lakaribia litatikisa, ni ama ajiamulie mwenyewe au wenyewe waamue

    Shibuda kafungua code
  9. BABA Dillish

    JamiiForums Tanzania Yanga tusiingie kwenye mtego wa Simba. Selemani Mwalimu walikuwa wanamkarisha hadi dk za mwishoni. Sisi tunamweka bench?

    Semaji linasema" Si walimtorosha? Wanashindwa Nini kumtorosha?😆😆😆😆 Waswahili Wana kitu hapo kipo mfukoni. Ngoja tuone
  10. BABA Dillish

    JamiiForums Tanzania Kilichomponza mhadhiri ‘gaidi’ wa UDOM ni hiki hapa

    Bro P Salamu nyingi kwako Unauelewa wa Political Science? Public Administration? NB. Sijapinga mawazo yako Hadi muda huu
  11. BABA Dillish

    JamiiForums Tanzania Magori: Selemani Mwalimu mchezaji gani yule wa kumlipia Tsh. Bil. 1 kwa mkopo?

    Angekaa tu kimya. Hapo Simba ni wazi hakuna umoja baina ya viongozi wao Kwa wao, Huenda Kuna shida kubwa kwenye strategies zao za USAJILI. Magori ana jazba kubwa Huenda alikaa na Sulee Teacher lkn akageukwa na upande wa Mwalimu na timu yake kiarabu.
  12. BABA Dillish

    JamiiForums Tanzania Hivi Dudu Baya anaalikwa kwanini?!!! Yanga mmenikera sana

    Kupigwa miti noma sana🤣🤣🤣🤣
  13. BABA Dillish

    JamiiForums Tanzania Iran na nguvu zake alizonazo ameshindwa nini kuvunja US Naval blockade?

    1. USA ana nguvu ya kijeshi kubwa kuliko Iran 2.Iran akiamua kuvuruga blockade ya USA ataudidimiza kabsaa uchumi wake 3. Akishambulia tu atafanya USA aungwe mkono na mataifa mengi duniani kuliko Hali ilivyo sasa
  14. BABA Dillish

    JamiiForums Tanzania Mchezaji auwa kwa kupigwa na majambazi

    Visasi
  15. BABA Dillish

    JamiiForums Tanzania Shida ya Simba ni wanachama sio MO wala Mangungu, waliponzwa na Manji. Katiba ya Simba ni vuluvulu

    Wote watupishe tukae wenyewe😀
Back
Top Bottom