Recent content by BABA Dillish

  1. BABA Dillish

    JamiiForums Tanzania Shida ya Simba ni wanachama sio MO wala Mangungu, waliponzwa na Manji. Katiba ya Simba ni vuluvulu

    Wote watupishe tukae wenyewe😀
  2. BABA Dillish

    JamiiForums Tanzania Ugaidi Arusha: Shekhe Lema ahakumiwa kifo na Mahakama ya kanda Arusha

    Nahisi walimkera sana Jk kipindi icho. Sasa maneno aliyoyaelekeza AKIWA kama Amiri Jeshi mkuu Bado yamenyooka hadi leo
  3. BABA Dillish

    JamiiForums Tanzania Tujadili hii kwangua kwangua ya barabara kila mwaka ina tija gani?

    Tangu nipo primary school naikumbuka sana iyo barabara. Leo hii nimezeeka Bado nasikia wanakwangua tu😆😆
  4. BABA Dillish

    JamiiForums Tanzania Maneno ya mwisho ya mwanajeshi mdogo wa Marekani, Angel Rampesard, kabla ya kifo chake

    Kabsaa kabsaa Yani propaganda ni nyingi sana Nimemkumbuka propaganda za Enzi za Hayati Jpm. Huyu ndiye muasisi wa propaganda tunazoendelea kuziona nyakati hizi za sasa
  5. BABA Dillish

    JamiiForums Tanzania Picha ikiwaonesha raia wa Iran wakifurahia mashambulizi ya Marekani nchini mwao

    Huwezi pendwa na watu wote mkuu. Kila tukio baya kibinadamu Lina huzuni na furaha upande mwingine. Irani upinzani upo tusidanganywe
  6. BABA Dillish

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Mwalimu wa S/M Kimandafu ya Halmashauri ya Wilaya ya Meru amfukuza darasani mwanafunzi wa darasa la 5 siku 2 mfululizo

    Angedai haki ya mtoto kuliko kupenyeza tuhuma za Mwalimu zisizo na ushahidi. Any way. Ujumbe umefika na nahisi mpaka amefikia hapa Ina maana mwl huyo kweli ni mbabe haswa.
  7. BABA Dillish

    JamiiForums Tanzania Kwa tulipofikia shule zifutwe tu, hakuna mwalimu mwenye uwezo wa kuelezea kitu bila kuchoka na kukata kiu ya maswali kama ilivyo akili mnemba

    AI mwenyewe kama huna knowledge kiasi na kitu unachomuuliza imekula kwako. Kuna muda anadanganya kabsaa mpaka umkosoe au kumsahihisha ndiyo anashtuka😃😃
  8. BABA Dillish

    JamiiForums Tanzania Akamatwa kwa kuwaua baba yake mzazi na Baba yake mdogo

    Ugonjwa wa Afya ya Akili hapa Tanzania tunauchukulia poa sana. Mtu kama huyo hata mkimhukumu kunyongwa hauzuniki Wala kuomba msamaha. Yeye anahiso ni kawaida tu wafanye wanachotaka kufanya. Kuna siku nilikuwa namsimulia rafiki jinsi ninavyochukizwa na matendo ya jirani yangu. Jamaa baada...
  9. BABA Dillish

    JamiiForums Tanzania Hivi wasanii wa zamani wanawake hawapo?

    Maua Sama ni wazamani?
  10. BABA Dillish

    JamiiForums Tanzania Kumekucha, Netanyahu threatens to nuke Iran this time!

    Bibi anataka amalizie mchezo mapemaaa
  11. BABA Dillish

    JamiiForums Tanzania Majina ya wasanii wa bongo yasiyo na mvuto

    Huyu jamaa amefariki?
  12. BABA Dillish

    JamiiForums Tanzania Jamal Bakhresa: TFF imeharibu mpira wa Tanganyika. Azam FC nitaihamishia Zanzibar

    Dstv anachungulia tu Mzee ajitoe azame mpaka ndani😀😀
Back
Top Bottom