Recent content by baba aggy

  1. baba aggy

    Magufuli atangaza ushindi Kimyakimya; Acacia watokea Mlango wa Nyuma; zigo labebeshwa Barrick

    Na bado aliendelea kuwa waziri si ndio!?? Sent using Jamii Forums mobile app
  2. baba aggy

    Mgogoro wa wakulima na wafugaji Manga,Tanga: Rais Magufuli atoa wiki 1 Hakimu Laizer awe amehamishwa kituo cha kazi

    Hakimu mwenyewe laizer wafugaji kina loibanguti unategemea nn hata mm ningemhamisha Sent using Jamii Forums mobile app
  3. baba aggy

    Tahadhari: Utapeli huu saluni za kiume bongo haukubaliki

    Bado kuna kale kamtindo ka tip kwa vinyozi, kunyoa sh 5000 tip 2000 basi usipomtoa tip next time anakua anakupalua tu Sent using Jamii Forums mobile app
  4. baba aggy

    Tetesi: Viongozi 84 wa CHADEMA wilaya ya Misungwi Mwanza wafunga ofisi na kuhamia CCM

    Sawa kenge mdogo uwe unaelewa swali! Nimekuuliza wale madiwani Wa chadema arusha wanaohamia ccm nao ni kwa sababu ya hayohayo maendeleo ya huko kanda ya ziwa. Sent from my HUAWEI Y336-U02 using JamiiForums mobile app
  5. baba aggy

    Tetesi: Viongozi 84 wa CHADEMA wilaya ya Misungwi Mwanza wafunga ofisi na kuhamia CCM

    Na wale Wa arusha!?? Mjomba acha mambo ya kike kike Sent from my HUAWEI Y336-U02 using JamiiForums mobile app
  6. baba aggy

    Tanzania ni nchi peke yake Duniani inayochukia Diaspora wake

    Hebu type mrejesho hao diakiporo wamewahi rejesha nn kilichoibiwa mpaka tuwathamani! Bora ma despora Wa ndani kwa kwa wale wakichachaka wanaenda kutafuta mikoa ya mbali wanafanya maendeleo kwao moshi Sent from my HUAWEI Y336-U02 using JamiiForums mobile app
  7. baba aggy

    Hongera TBC kwa mabadiliko makubwa

    Tatizo vjana mnapenda sana Yale mambo ya kina bitoke benpol na Yale ya kingi kiba na mavoko sasa mkisikia habari nzuri kama hizi mnaleta siasa zile za mlengo Wa kushoto tu.
  8. baba aggy

    Ali Kiba awavunja mbavu Clouds Media kwa Kipensi cha ajabu alichovaa

    Hakuna cha ustar hapo hiyo nikubrainwash society tu vaa hivo wewe haf ukatizekatize uswahilini kwenu uone kama ni kawaida hahaaa
  9. baba aggy

    Ali Kiba awavunja mbavu Clouds Media kwa Kipensi cha ajabu alichovaa

    Hicho kinaitwa kipedo cha kiume haf yeye ni komando kipensi Wa bongo
  10. baba aggy

    Utafiti Mpya: Rais Magufuli anakubalika kwa asilimia 80.2%, Imani ya wananchi kwa CHADEMA Yashuka

    Siku tafiti tafiti hizihizi zikipindua matokeo na kuwa magufuli 20% chadema 80% great thinker hawahawa watanyanyuka na kusema yes hizi ndo za ukweli sasa! Waswahili bhana
  11. baba aggy

    Kiongozi wa genge la dawa za kulevya aliyebadili sura kwa miaka 30 akamatwa

    Kwani hizo cocaine zinalimwa wapi? Si tungeteketeza hayo mashamba kama tulivofanya kule musoma
  12. baba aggy

    Pendekezo Fyatu: Upinzani Ususie Mijadala ya Sheria za Dharura

    Jambo la msingi hapo sio kukaa kimya na kisusia miswaada. Serikali ya ccm inatakiwa ipigiwe kelele mpaka dakika ya mwisho tena kwa nguvu zote ili wanapoleta hi miswaada angalau wawe wamejidhatiti kinadharia.pia unatakiwa ujue kua upinzani unatakiwa kujijenga tokea bungeni kabla hata ya kufika...
  13. baba aggy

    IKULU: Rais Magufuli apokea taarifa ya ripoti ya Pili ya Mchanga. Waliosaini Mikataba Wakaangwa

    Akili mgando kabisa! Kwahiyo kama alipiga makofi wakati huo ulitaka tusubiri mpaka lowasa awe rais ndo avunje hiyo mikataba kwasabu hakupiga makofi eti eeeh
  14. baba aggy

    Tundu Lissu:Jioni ya jana ilikuwa ni jioni nyingine ya makelele

    Mmmhh kumbe kuna bunge la ccm tena
Back
Top Bottom