Recent content by ba ubaya

  1. ba ubaya

    JamiiForums Tanzania Kuna dalili za simba kufanyiwa figisu fainali ya FA

    Ndege ndio walio ingia nayo uwanjani
  2. ba ubaya

    JamiiForums Tanzania Kuna dalili za simba kufanyiwa figisu fainali ya FA

    Sio kumngoja yesu.tayari mungu anaaza kuturipia,si unaona kwa jamaa hakukariki.njaa tupu sasa usajili ndio huo unakuja.kama safari ya mwanza basi linakata mafuta njiani,watamsajiri nani wakati waliopo wanataka kuondoka
  3. ba ubaya

    JamiiForums Tanzania Kuna dalili za simba kufanyiwa figisu fainali ya FA

    Sisi tunajua.ila sio makosa yao.iko siku Tanzania nzima itajua simba ni kitu gani. Still simba
  4. ba ubaya

    JamiiForums Tanzania Anthony Joshua afanikiwa kumtwanga Wladimir Klitschko katika pambano la uzito wa juu

    Mambo yetu hayo
  5. ba ubaya

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba ushauri, mpenzi wangu hana hamu na mimi hata kidogo

    Lazima kutakuwa na sababu.sababu nini
  6. ba ubaya

    JamiiForums Tanzania Mfumuko wa bei wapanda kwa asilimia 1.4

    Ni shida juu ya shida tu
  7. ba ubaya

    JamiiForums Tanzania Msaada Tafadhali Simalizii bao la Pili

    Ok
  8. ba ubaya

    JamiiForums Tanzania Msaada Tafadhali Simalizii bao la Pili

    Kikawaida unapopiga bao la kwanza mwili wa binadamu unatakiwa ukae dk15 ndio utafute bao la pili iko hivyo.ikiwezekana baada ya bao la kwanza nenda chooni kakojoe kisha rudia tena.utanambia.achana na video za ngono zinazo onyesha mtu anatomba dk 45 sio kweli
  9. ba ubaya

    JamiiForums Tanzania Msaada Tafadhali Simalizii bao la Pili

    Kipindi unafanya sex hakikisa akili yako,mawazo,na kila kitu chako kinakuwa kwenye tendo.usiwe unatomba hakafu mawazo yako kwenye mechi ya bacca na madrid,utakimbiwa
  10. ba ubaya

    JamiiForums Tanzania Tatizo la Mabaka, Mba na Fungus (Fangasi) sugu na kuwashwa sehemu za siri kwa wanaume na wanawake- Fahamu chanzo, Dalili na Matibabu yake

    Nunua unisten tubel sh2000 tu.paka asubuhi na jioni.mtumie wote na mwenzio
  11. ba ubaya

    JamiiForums Tanzania Tatizo la Mabaka, Mba na Fungus (Fangasi) sugu na kuwashwa sehemu za siri kwa wanaume na wanawake- Fahamu chanzo, Dalili na Matibabu yake

    Nenda duka la dawa ulizia unisten tubel,ukishaoga kausha pumbu kwa kitambaa safi Kausha paka.asubuhi na jioni.ila na shemeji nae atumie.
Back
Top Bottom