huyo waziri alikwenda safari yenye tija?.hizi hela kama ingekuwa sisi maskini tungekatwa kwenye mishahara yetu mpaka tunakufa
Sent using Jamii Forums mobile app
mijutu mingi humu haijui hata lissu kazungumza nini .ni mimbumbumbu .lissu kSema deni lilitokana na kufukuzwa kwa wakandarasi bila ya kufata utaratibu na wakashinda kesi hao wakandarasi ila mijinga mingi humu haijaelewa
Sent using Jamii Forums mobile app
huyu jingalao nadhani ana minus katika vyeti feki ana feki na ni div.0 .madi ni kuahirishwa kongamano .na mrema mbina humsemi tlp na cheyo mbona humsemi .
hahaa nyinyi mnayaona ya mwenge tu.karia koo wenye maduka maji yafika mpaka puani .maduka yanarudishwa moja moja .hii ni baada ya kuletwa wale wanaopanga mbele ya maduka
uwelewa wako mdogo mno unaaanda post kiurahisi kiurahisi tu .maalim seif hana silaha nyengine ya kujitetea hana dola wala hataki watu wa uawe .wewe untaka awaambie wafuasi wake watumia maguvu kama nyinyi .wewe nu mungiki
sasa bila ya kuhoji hizo safari za njee za kwenda kufatilia zingepatikana vipi? hao watakao pata nafasi ya kusafiri wanatakiwa wawashukuru wananchi na zitto kwa kufafunua suala hili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.