Recent content by B Ryan

  1. B Ryan

    Natafuta Tenda ya Chainsaw mkoa wowote

    Wakuu habarini za jioni natafuta kazi za kufanya na mashine ya chainsaw. Niko tayari kuja mkoa wowote Tanzania (binafsi Nina mashine yangu)
  2. B Ryan

    Nina mtaji wa milioni kumi; nifanye biashara ipi kati ya hizi nilizochagua?

    Ni biashar inayolipa kweli ukiwa sehemu yenye mzunguko mzuri ila changamot yake kubwa ni wezi na matapeli ni wengi mnoo na Wana mbinu tofauti tofaut so ni swala la kunchunga sana... En in addition kwenye hii biashara sometimes pana kuwag na mambo ya chuma ulete nalo pia ni swala la kuwa nalo...
  3. B Ryan

    Huwa mnawashughulikiaje watoto wanaokuwa na tabia kama hii?

    Kwa fikra zangu anaweza akawa ameanza kuvuta bangi maan for some people ndo zinakuwaga side effects zake au ameanza tabia ya ushoga au amepata maambukizi ya ukimwi au magonjwa mengine ya zinaa yaliyopelekea kuharibu saikolojia yake.. ni vyema atafutiwe canceller wa kuzungumza nae haraka...
  4. B Ryan

    Kuvunja ndoa ya kikristo ni mpaka kifo ama kuchepuka, Kwanini wakristo hawatii sheria zao wanakimbilia mahakamani kuvunja ndoa kwa sababu zingine ?

    Kwa uelewa wangu biblia inasema mmoja akipatikana na hatia ya kuchepuka ndo ndoa inavunjwa lakini pia kanisa linaongezea na kusema kuwa kama mmoja wao ameugua kichaa ndoa inavunjwa (nahisi ni kwasababu za kiusalama), kunyimana unyumba bila sababu za msingi au mmoja wao kutokuwa na uwezo wa...
  5. B Ryan

    Amebadilika nataka niachane naye niishi maisha yangu

    Kukutana na huu uzi nimeshtuka Hadi nikahisi ni Mimi naelezewa nafsi yangu maan nakutana na changamoto hiyo hiyo haijapishana popote sema tu mtoto wetu ana miezi Tisa.
Back
Top Bottom