Recent content by azizinyoni

  1. A

    Wote wanaoponda Uteuzi wa Muhongo, Mwakyembe na Nape, wapo nyuma ya Lowassa na Mengi

    Je Lowasa, vp unamkubali maana yeye hajawahi kula pesa za uma!!!
  2. A

    Tamko la wazalendo Sakata la COCO Beach na tajiri Yusuf Manji

    Uzalendo hauna rangi ila kuhusu suala la kuiendeleza coco beach ni aidia mbovu coz wengi tunaoenda pale hali zetu ni za chini sana sasa wakitaka kujenga beach ya kisasa unafikiri kiingilio itakua bure? je walala hoi watabakiwa na beach gani tena? beach zote za kigamboni zina kiingilio ndio mana...
  3. A

    Mapendekezo ya wananchi: Muundo wa Baraza la Mawaziri kwa Serikali ya Awamu ya Tano

    Fikria mbali kaka, kwanza tunahitaji kodi yetu irudi pamoja na faini then mashitaka yanaweza kuja baadae coz haya yalitokea uongozi uliopita na ni chain kubwa lakini kwa wale watakaokwepa kodi wakati JPM ni raisi nakuhakikishia lazima watachukuliwa hatua za kisheria
  4. A

    Sheikh Ponda aachiwa huru

    Hivi unaelewa unachokiongea kuwa JPM anahusikaje kuachiwa Ponda!! Kila sekta inajaribu kutenda haki sasa hivi na sio uonevu tuliozoea kuona waziwazi.
  5. A

    Wabunge wataka Milioni 130 badala ya 90 kama mkopo wa gari

    Lowasa alisemaga mashangingi ya serikali yanagharama kubwa sana so angeliondoa hili.....leo hii wabunge wanalalamika ml 90 hazitoshi kununua gari!!!!
  6. A

    Je, bado kuna umuhimu wa kuhamisha makao makuu ya nchi Dodoma?

    Huo ni upuuzi....serikali inatakiwa ipunguze matumizi kipindi hichi ambacho haina pesa we unataka waanze kujitia magharama yakuhama
  7. A

    Wabunge wataka Milioni 130 badala ya 90 kama mkopo wa gari

    Wabunge ningewaona wamaana kama wangesema wapewe mil 50 na nyengine ziende kwa wanafunzi....lkn ndio kwanzaa wanazitaka zote
  8. A

    Watanzania tunamsifia Magufuli kwa kuvamia maofisini?

    Ukawa waliahidi mabadiliko makubwa ndani ya Sikh 100....Sasa kwanini Rais Magufuli ameanza mna criticize. Wekeni upinzani pembeni tupigeni kazi
  9. A

    Nauliza tu, hivi ni sahihi kufuta kabisa safari za nje?

    Asiyemuunga mkono mheshimiwa raisi naomba akae pembeni nadhani atakuwa hajielewi au n mmoja kati ya wabadhirifu wa kodi za wananchi....
  10. A

    Magufuli apiga STOP Safari za nje ya Nchi; Elimu Bure kuanza Januari 2016...

    We unataka vitendo gani sasa.....kwani huoni kinachoendelea
  11. A

    Magufuli apiga STOP Safari za nje ya Nchi; Elimu Bure kuanza Januari 2016...

    Dalili ya mvua....naamini anayo nia ya kweli jamani
  12. A

    Mbowe: UKAWA na wapenda Mabadiliko, Hatutahudhuria Sherehe za Kuapishwa kwa Dr. Pombe Magufuli

    Nadhani hujatembea huko mitaani coz unachoongea ni tofauti, people are celebrating kaka
  13. A

    Mbowe: UKAWA na wapenda Mabadiliko, Hatutahudhuria Sherehe za Kuapishwa kwa Dr. Pombe Magufuli

    This z ridiculous....inakuaje chama kimepata wabunge wengi lakini uraisi eti wameiba. Acheni uroho wa madaraka tu ukawa
  14. A

    Bunda tumeangusha Mbuyu

    Really ktk watu ambao walitakiwa kutolewa huyu mmoja wapo.... magufuli usimpe chaka lolote huyu
  15. A

    Am so worried! Kwanini suala la ulinzi wa kura ni 'chukizo' kuu la wana CCM?

    Shindana na mahakama sasa uone chamtema kuni......kuna ulinzi wa 200m away!!!!!
Back
Top Bottom