Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 18,618
- 20,946
Tunashuhudia mambo ya ajabu kabisa katika taifa letu!,
Iwaje suala nyeti la ulinzi wa kura,liwe chukizo na jambo baya kweli kwa wana ccm,tena likisisitizwa na ngazi zote za kichama!
Ni nini kipo nyuma ya pazia?
Tunaweza kuthubutu kusema kabla hata kura hazijapigwa ya kwamba "This is not a fair elections"
Kwani hiki ni kiashiria tosha kabisa,cha kuonyesha haki haitaweza kutendeka!
kwa nini wasiwe huru?kwa kuachia mambo yakaenda accordingly to laws,
This is a great sign of fraudietly that could ignite disaster to our beautifull country,
""haki ndiyo amani""
""kuiombea makanisani ni mbwembwe tu""
""mapadri,maaskofu,masheikh waimizeni viongozi wetu wa kitaifa kutenda HAKI na kumwogopa MUNGU,HAKI HUSIMAMISHA NCHI,BALI UNAFKI,UONGO,WIZI,KUPINDISHA HAKI hubomoa TAIFA.
Iwaje suala nyeti la ulinzi wa kura,liwe chukizo na jambo baya kweli kwa wana ccm,tena likisisitizwa na ngazi zote za kichama!
Ni nini kipo nyuma ya pazia?
Tunaweza kuthubutu kusema kabla hata kura hazijapigwa ya kwamba "This is not a fair elections"
Kwani hiki ni kiashiria tosha kabisa,cha kuonyesha haki haitaweza kutendeka!
kwa nini wasiwe huru?kwa kuachia mambo yakaenda accordingly to laws,
This is a great sign of fraudietly that could ignite disaster to our beautifull country,
""haki ndiyo amani""
""kuiombea makanisani ni mbwembwe tu""
""mapadri,maaskofu,masheikh waimizeni viongozi wetu wa kitaifa kutenda HAKI na kumwogopa MUNGU,HAKI HUSIMAMISHA NCHI,BALI UNAFKI,UONGO,WIZI,KUPINDISHA HAKI hubomoa TAIFA.