Kwa kweli kama ni kuchepuka ndo sifa ya mnyama basi wanawake ndo wanyekuwa wanachepuka. Kuliko hapa hao wanaume coz wao wanafuatwa na me wengi so kama ndo kuku basi kila jigoo lazima likupande but we a human thats why tuna akili ya kuchagua nankufanya maamuz so me msijitete kwa kuona nyie...
Hiyo tafitu yako ya kilocaly sijui umeitowa wap na wakati hapahapa tanzania unakuta ke anamahusiano zaid ya me wa tatu alafu unasema eti ke wapo mara nne ya me wacha uongo ww
Ss hatushangai sema tu na nyinyi mnashindwa kuelewa kuwa kama me anamahusiano na ke zaid ya mmoja ina maana na ke nae anamahusiano na me zaid ya mmoja kwa nn nasema hivyo sababu kama ww ni mme na una uke ndan na ukamuona mwanamke mwingine mzur ukamtaman na kutembea nae kumbuka hapohapo pia kuna...
Mambo yote ya kihistoria yaliyofanywa nanwanaume ndo yaliyo andikwa sio kama wanawake hawakufanya walifanya sana sema sababu ya mfume dume ulio kuwepo toka mwanza vya me ndo vilivyo onekana
Kinacho nifurahisha ni kwamba si wanaume tu wanachepuka hata wanawake tunachepuka sana tu mbona ila kiwango cha wanaume hakija wafikia wanawake kwa kweli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.