Kuna mtu anahama yupo Kahama, maeneo ya Nyahanga anauza friji,
Godoro,
Jiko la gesi,
Viti plastiki,
Viti vya kiofisi,
Meza za kiofisi,
Meza za mbao,
Vyombo pamoja na mapazia.
Maongezi kwa mwenye uhitaji yanakaribishwa. Bosi ana haraka. Kama ni Dalali mlete mtu wako, KAMPA KAMPA TENA kwa LUPASO...