Mr Mayala kajitahidi kuweka Hoja zake mezani kama Mwanajukwaa Huru Katika Jukwaa Letu Pendwa la Siasa, Were We Dare To talk Openly.
Kwa mantiki ya Andiko lake anapaswa kujibiwa kwa Hoja na si kumwambia ake Kimya kama ndivyo hakuna Sababu ya Kuwa na Jukwaa hili kila mtu angekaa na hoja yake...
Si jambo baya kuteuliwa Prof.Kitila ila tatizo ni yeye kutembea kwa kile alichokisema kwan nikiamini ndicho anachokiamink juu ya wanataalum wabaki katika uhaur na ukosoaji kwa nchi.
Issue ya msingi ni kuwa Kanuni za TLS zinasemaje. kama hazimfungi popote shida ipo wap?
Kwa nn ww ndio uone hayo? Mawakili wasomi 1,400+ hawakuona hayo.
Naamini wana sababu ya msingi kumchagua kuwa Rais wao.
Naamini kwa Mawakili wote Mwenye Elimu ya Chini ni degree Holder N.k.
Pilipili usiyoila...
Mleta Mada kuna Mantiki fulani umezungumza Shida kubwa ninavyofikir ndani ya Chama Kikuu Cha Upinzani ni Kuogopana ndani ya Chama, hii nadhani inasabasisha kuzorotesha ufanisi kwa baadhi ya mambo fulan fulan
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.