Recent content by Awadh Samuel Kiwelu

  1. Awadh Samuel Kiwelu

    UKAWA, tayari Jiji la Dar lipo chini yetu, pambaneni na changamoto zilizopo

    Uchaguzi umeishamalizika tuangalie maendeleo ya jiji letu.
  2. Awadh Samuel Kiwelu

    UKAWA, tayari Jiji la Dar lipo chini yetu, pambaneni na changamoto zilizopo

    Na yale magari ya kubeba uchafu sijui kampuni ya nani waifute haiwezekani trekta libebe uchafu.
  3. Awadh Samuel Kiwelu

    UKAWA, tayari Jiji la Dar lipo chini yetu, pambaneni na changamoto zilizopo

    Ngoja tusubiri tuone mbinu watakazotumia kuondokana na foleni pia waangalie leseni za biashara wananchi tunalipa kiasi kikubwa sana hasa Kariakoo.
  4. Awadh Samuel Kiwelu

    Waislam wa Tanzania na tatizo la udini katika Wizara ya Elimu

    Kavua bikini kavaa G-String. Ahahahahhahah!
  5. Awadh Samuel Kiwelu

    Waislam wa Tanzania na tatizo la udini katika Wizara ya Elimu

    Tanzania kuna vituko huyu punguani wa kigalatia wa Shinyanga naye eti ana mafaniko. Nenda Lubaga, Isoso, Mashimo, Mwanuru huko Kishapa, na Maswa, Meatu kaangalie wagalatia wenzako wanavyotembea matako wazi. Halafu unakuja JF kijifia mna mafanikio mngekuwa na mafaniko mngetumwa na waarabu...
  6. Awadh Samuel Kiwelu

    Waislam wa Tanzania na tatizo la udini katika Wizara ya Elimu

    UKAWA leo mmerudi CCM kumtetea mgalatia mwenzenu Ahahahaha!! Pasco unanipasua mbavu hivi mtu kugawa pesa zake ni makosa sasa kwa nini wale aliyowagawia kina Tibaijuka na wenzake pamoja na benki yetu ya Kanisa Mkombozi waonekane na makosa mgawaji awe ana makosa daah!! Huu ushabiki mandazi...
  7. Awadh Samuel Kiwelu

    Waislam wa Tanzania na tatizo la udini katika Wizara ya Elimu

    Mkuu unachosema ni ukweli mtupu kuna Waislam waliingia mkenge nao eti wakajifanya UKAWA hawajui masikini kumbe walikuwa wanatumika angalia mfano kwenye huu uzi hawa UKAWA wote wamerudi CCM ambayo walikuwa wanaiponda kuwa hata achaguliwe nani haiwezi kufanya kitu tatizo ni mfumo lakini sababu...
  8. Awadh Samuel Kiwelu

    Wasomi wetu wa Tanzania wamelisaidia vipi taifa letu kutoka kwenye umasikini?

    Wana JF. Tanzania toka tupate uhuru wetu mwaka 1961 mpaka leo mwaka 2015 bado nchi yetu ipo kwenye kundi la nchi masikini tunaendelea kusaidiwa na wahisani mpaka leo. Tanzania kuna jamii tofauti tofauti bahati nzuri toka tupate uhuru jamii yetu ya Kikristo tumejaa idara zote za serikali na...
  9. Awadh Samuel Kiwelu

    Waislam wa Tanzania na tatizo la udini katika Wizara ya Elimu

    Bora uendelee kuwa kafirii tu unawatukana Waislam wakati hao hao ndiyo wamempa kazi baba yako ya udereva.
  10. Awadh Samuel Kiwelu

    Kampuni ya Silent Ocean China hawapokei tena lose cargo, wanapokea makontena tu

    Sasa hapa wale wafanyabiashara wenye mitaji ya $200, $300 sijui mtafanye sasa bora ubaki Tanzania tu uisome namba.
  11. Awadh Samuel Kiwelu

    Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

    Daah huu uzi ulikuwa mtamu umeunganishwa tayari daah!!
  12. Awadh Samuel Kiwelu

    Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

    Hiyo technology mpya inakataza hata kuchukua hayo maeneo ambayo yamegeuzwa matumuzi kama parking na yards?
  13. Awadh Samuel Kiwelu

    Coaster zaidi ya thelathini zinaelekea Morogoro kwa ajili ya Sheikh Ponda

    Naona unajitoa ufahamu wewe ndiyo unaleta kejeli dhidi ya Waislam waungwana wanakujibu ndiyo maana umebakia kutoa uharo wako hapa.
  14. Awadh Samuel Kiwelu

    Coaster zaidi ya thelathini zinaelekea Morogoro kwa ajili ya Sheikh Ponda

    Mchaga anajiita falcon Mombasa kuna nini hapo zaidi mshumaa.
Back
Top Bottom