niwakumbushe tu kuna dini ya kikristo na kuna biblia halafu kuna quraan na dini ya kiislam sasa usichanganye hv vitu dini na vitabu vilivyotumika kutengeneza dini.
swali langu liko hivi yuda aliandaliwa amsaliti yesu sawasawa na yohana mbatizaji aliandaliwa mahususi kuandaa (kusafisha) njia kwa ajili ya yesu sasa kama sio yuda kusaliti nani angesaliti?? na wokovu ungepatikana vipi?? na yesu alijua tangu mwanzo kwamba yuda atamsaliti lakini alimchagua...
na kwambia tenaaa 5g bongo hakn boss miaka 5 nyuma before 5g kuanza kupigiwa kelele na Western countries NASA walikuwa wanagonga 900mb to 1gb mb na 4g ndo walikuwa wanatumia 5g ilipoingia mzigo ukawa upgrade trust mee niambie bongo nani anatumia 1gb hata office kubwa kubwa wanatumia 500 to...
hawa apple kiukwel ni balaa maana zaid ya asilimia 60% ya profit industry ya smartphone wameikamata wanajua customer anataka nn hasa kwa nchi zilizoendelea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.