Kwenu TANROADS,
Najua hii barabara mnaijua na mnajua kwamba iko chini yenu. Kwa kweli hii Barbara ni kero zaidi ya kero. Kila siku utakutana na magari ya abiria njiani yameharibika. Magari binafsi ndio usiseme.
Kwa kweli wakazi wanaotumia hii Barbara wamekuwa wahanga wakubwa kwa kukosa magari...
Huu mchakato inabidi tuuanze mapema ili Mh. Rais awe na uhakika wa kuendelea baada ya 2025. Ni nani wa kumfunga paka kengele kama mipanya yenyewe haijui taratibu za kumfikia paka? Mh. Rais wangu kipenzi Magufuli, piga kazi, sisi tutafanya kampeni ya kutafuta signature 2m uendelee. Tutapigana...
Hivi ili rais akifuata hicho kifungu cha utaratibu wa kumuondoa CAG lazima atangaze? Sasa nyinyi nyote mnaopiga porojo kwamba katiba imevunjwa mna uhakika gani kwamba hajaunda hicho chombo kwa mujibu wa ibara mnayoizungumzia? Labda niletewe kifungu kinachoonyesha kwamba rais akiwa anatekeleza...
Daaaa, sasa matusi ya nini mkuu? Ndo ulivyofundishwa na wazazi wako? Umekosa adabu wewe. Mimi nakuacha, lakini hutatoka humu duniani bila kupata adhabu yako ya matusi kwa watu usiowafahamu. Endelea tu.
Kwa kweli ni changamoto sana. Wenye magari ya abiria (daladala) huwa wanayaondoa magari yao kuepusha spare za mara kwa mara. Hapo ndo kilio cha kusaga meno kwa wananchi kinapoanziaga. Make unaendaje kazini bila usafiri?
Mkuu, Mnyika alishinda lkn si kwamba wa CCM hakupata kura. Maana yake ni kwamba, hata wa CCM pia hii tabu ya barabara inahusu. Usiongee bila kufikiria.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.