Dereva acha dharau [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] kile chuo kimesajiriwa 1982 as HIGHER LEARNING INSTUTION kwaiyo madereva ni kisehemu cha biashara pale Kama ilivyo VI ( Vehicle inspection)
Kingine ni Kwamba KATIBA YA SERIKALI YA WANAFUNZI YA NIT iitwayo SONIT CONSTITUTION...
MWANDISHI hawezi kuandika habari unayotaka wewe
Pili Wanafanya uhariri " kama mbowe kasema .Je mwandishi kajiridhishaje kuandika Ilo SWALA ?"
tatu na mwisho ni kuhusu iyo habari ..Naamini kuwa swala LA IMANI ni kubwa kuzidi izo Rushwa kuzidi iyo mambo ya MBOWE " maana kukosa Hofu ya mungu ndo...
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] kabisa mkuu ..maana watatuchanganya tushindwe tunalipaje ...maana nachojua malipo ya kwanza ni 724,000 staki kujua kuna mini ndani yake [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Tupe EPISODE YA PILI ..
Maana picha linaanza msikule kaja dar Akitokea Shelui kiomboi Singida ...
Starring:gwajima
Scrip writer : JF member
Wacha movie Iendeleeeeeee
Stories zenu hakuna anayetaka ...
Kama Jamaa ni mkosaji hatutaki pia kujua
Tunachojua hapa ni KUMJERUI vibaya kiasi cha kutaka kumtoa roho..
sheria INA ruhusu kila Mtu kutuhumiwa na kutuhumu .
Nikushauri mtoa Uzi ukasaidie Polisi umtetee SCORPION hatuwezi jua maslah yake kwako huku hakuna...
Mkopo watapata wengi sana ...
Tatzo JF wapotoshaji wengi
Sisi mwaka wetu JF members walikuwa wakisema sana
Ooh Mara serikali haina pesa Imetumia kwa uchaguzi ..lakin kilichotokea ni tulipata woote wenye Vigezo
1. Nikukosoe: Academic Calender iliyopo kwenye website ni DEAD calender! Ni calendar ya 2014/2015 - 2015/2016. Kama kuna LATEST academic calender (2016/2017 onwards) in that site, hebu tupe link hapa tuone.
2. Nikuweke sawa: STAGGERED programme mode is for NTA level 4 (Certificate) ONLY...
uongo UPI?
Batch ya kwanza ilikuwa na wanafunzi 12,284
Batch ya pili ilkuwa na wanafunzi 28,554
Hujui kusoma ? Hapo kubwa ni IPI?
Nimelinganisha batch ya kwanza na ya pili ya mwaka 2015/2016
Sasa muongo kivipi..tatzo hamfanyi RESEARCH
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.