Recent content by Averoes

  1. Averoes

    Aina za biashara zilizopigwa marufuku kwa wageni wasio raia

    Ukimaliza uchaguzi watarudia upya kufanya biashara zao 😀😉
  2. Averoes

    Tupeane mbinu: Ni uwekezaji gani wa zao la kudumu ambalo nikilima linaweza kunipa kipato toshelezi?

    Naomba uweke picha ya hiyo kahawa. Tujue mti wake ukoje na kahawa yake ikoje
  3. Averoes

    Suala la ardhi Zanzibar: Askofu Augustino Shayo apiga msumari wa moto mbele ya Rais Mwinyi

    MHASHAMU ASKOFU SHAO ANATAKA KUITEKA ZANZIBAR KWA JINA LA USAWA (RECIPROCITY) WA KUMIlIKI ARDHI. Sasa hii ni hatari tena kubwa tena ilioekwa hadharani. Ni dalili ilio wazi ya kutapatapa na kumtisha hadharani Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi aridhie kile ambacho hakikuridhiwa na Maraisi...
  4. Averoes

    Suala la ardhi halimo kwenye Muungano, Zanzibar wapo makini kulinda ardhi yao lakini wametuzidi akili kuimiliki ardhi ya bara

    As far as sheria za Uraia Uhamiaji, Mambo ya ndani, Ulinzi na Sarafu ni Muungano Wazanzibari na hata wazungu na Wahindi watamiliki Ardhi Bara. Tatizo kubwa mlofanya ni kuipokonya Zanzibar Sovereignity yake, si hivyo isingalikuwa issue. Kuna mali na rasilmali nyingi za Zanzibar mumezipora ndani...
  5. Averoes

    Suala la ardhi Zanzibar: Askofu Augustino Shayo apiga msumari wa moto mbele ya Rais Mwinyi

    Kitope wakulima wa miwa wakuu na wengi ni watu wa Bara hass wanayamwezi na wasukuma
  6. Averoes

    Suala la ardhi Zanzibar: Askofu Augustino Shayo apiga msumari wa moto mbele ya Rais Mwinyi

    Tena wengi, nawajua binafsi ni rafiki zangu kabisa na mbona wamasai wapo na sasa tokea wafike Zanzibar hawataki hata kurudi Longido, ubaya wanamtekekeza mama Yo wanachukuaga wazungu wa Scandinavia wanajengewa majumba ya kifahari pembeni mwa fukwe za bahari na wanazaa nao na kupelekwa majuu for...
  7. Averoes

    Mbegu za kisasa ni ajenda ya kishetani na kiiluminati

    Nakubaliana na wewe. Na hapa Tanzania kampuni zinazoleta hizi sumu hapa nchini ni pamoja na Syngenta, Bayer, Bolton na agent wao wapo na baadhi ya maprofesor wa vyuo vyetu vya kilimo nchini wanapokea kifunga mdomo wafumbie macho na kutokuishauri serikali vizuri. Kwa kweli mbegu zao zote pamoja...
  8. Averoes

    GHANA SHIFTS ATTENTION FROM TAX DRIVEN ECONOMY TO PRODUCTION DRIVEN ECONOMY

    *GHANA SHIFTS ATTENTION FROM TAX DRIVEN ECONOMY TO PRODUCTION DRIVEN ECONOMY* While some African countries are considering increasing Value Added Tax (VAT) also known as Goods and Services Tax (GST), GHANA is already thinking outside the box. To save us the boredom of reading long stories, let...
  9. Averoes

    US Department of State, Human Rights 2018 Report on Tanzania.

    Na Mange alipoitisha maandamano mlifanyaje si mlipita kivita na vifaru mitaani dhidi ya raia. Hii ripoti ndio vita baridi dhidi unyama wenu Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Averoes

    US Department of State, Human Rights 2018 Report on Tanzania.

    Hapa Tz hii CNN kwa kutoa hii report ingalikuwa banned for life Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Averoes

    US Department of State, Human Rights 2018 Report on Tanzania.

    Waliandamana kupinga hayo mauwaji na movements za BLACK LIFE MATTERS na hawakuzuiliwa mpaka kuingia mabungeni bila kupigwa mabomu. Waliotaka kufanya maandamano dhidi ya mauwaji ya Kibiti walidunguliwa wao. Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Averoes

    US Department of State, Human Rights 2018 Report on Tanzania.

    As if kama walouwa Kibiti sio wenywenu Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Averoes

    US Department of State, Human Rights 2018 Report on Tanzania.

    Trump can be impeached Magu anataka Urais wa Milele na Ukuubwa Malaika Mbinguni Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom