Recent content by Auto-Marvelt

  1. Auto-Marvelt

    JamiiForums Tanzania GE2025 Jimbo la Gairo wasema 'Samia mitano tena' Shabiby awauliza kama kuna kero wasema 'Hakuna'

    Maana yake kwa muda wa miaka 55 wameongeza vituo vinne tu vya afya Poa tu
  2. Auto-Marvelt

    JamiiForums Tanzania Siku messi akifanya hivi mniamshe usingizini. Kwaherini!

    Siku Ronaldo akibeba kombe la dunia tukuafnye aje??
  3. Auto-Marvelt

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    02:50 signed out
  4. Auto-Marvelt

    JamiiForums Tanzania Kinachofanywa na maaskofu na watumishi wa Mungu sio siasa

    Per se 😆😆😆
  5. Auto-Marvelt

    JamiiForums Tanzania Yanga wana utoto sana kwenye jezi zao

    Inayoongoza kukushenyenta
  6. Auto-Marvelt

    JamiiForums Tanzania Wamataizy: Nimeumia sana kumuona kwenye interview ya Mwijaku

    Kazingua sana, nahis hana management na kama anayo aachane nayo
  7. Auto-Marvelt

    JamiiForums Tanzania Wamataizy: Nimeumia sana kumuona kwenye interview ya Mwijaku

    Ungeondoa reply yote haina maana au ungeondoka kwenye uzi
  8. Auto-Marvelt

    JamiiForums Tanzania Wamataizy: Nimeumia sana kumuona kwenye interview ya Mwijaku

    🤣🤣🤣 Uandishi sio vitu vyangu yan (na hapo naona nimeua vibaya mno). nilitakiwa kuandikaje??
  9. Auto-Marvelt

    JamiiForums Tanzania Wamataizy: Nimeumia sana kumuona kwenye interview ya Mwijaku

    GwajiBoy nakubali mwambaaa
  10. Auto-Marvelt

    JamiiForums Tanzania Wamataizy: Nimeumia sana kumuona kwenye interview ya Mwijaku

    Nyota ya mtu inaweza kufifia lakini bado kuna watu wataendelea kuithamini na kuiona ni nyota bora kuliko zote. Amonaizy Wamataizy ni jina maarufu sana mkoa wa Kigoma hususani wilaya ya Kasulu. Binafsi nimemfahamu 2009 kipindi nafanya kazi kambi ya shirika la GTZ, ngoma yake ya kwanza inaitwa Ua...
  11. Auto-Marvelt

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wazee wa sportybet hii ofa inatumikaje kila nikijaribu naambiwa incompatible bet slip
  12. Auto-Marvelt

    JamiiForums Tanzania Vipi lile Disco la Msigwa la jana baada ya Taifa Stars kufungwa na kutolewa lilikuwepo?

    Lilikuwepo japo skuona T-shirt za mitano tena
  13. Auto-Marvelt

    JamiiForums Tanzania Hivi Mzize ni wa kucheza nje kweli

    Labda ni wa kukuchezea wewe ndani
  14. Auto-Marvelt

    JamiiForums Tanzania Kufungua makanisa ya Gwajima ni kuchezea moto unaoweza kuliteketeza taifa

    Wanawake wa JF sjui mkoje???
  15. Auto-Marvelt

    JamiiForums Tanzania Kumbukizi: Comment ya Kitila Mkumbo JF Kuhusu Chanel ten 2009 kabla hajalamba Asali

    Kitila wa 2009 akikutana na huyu wa sasa watapigana sana
Back
Top Bottom