Recent content by Author

  1. Author

    Kama mlikuwa mnapendana, kwanini mnaogopa kuongozana pamoja?

    Mnaongozana kwenda wapi, kila mmoja aende kivyake hata likipigwa bomu msife wote.
  2. Author

    Kwani Zanzibar wanawachukuliaje watu wa Bara?

    Naomba namba ya mwalimu wako wa chekechea.
  3. Author

    Kwani Zanzibar wanawachukuliaje watu wa Bara?

    Nilikua nawaza hivi wakati wakristo wanaoishi zanzibar wanafunga huwa hakuna waislamu wanaokula hadharani!? Huwa wanakamatwa na kuwekwa Jela pia?
  4. Author

    Ni kitu gani ukikisahau lazima ukirudie?

    Vipimo na Condom, huwezi jua
  5. Author

    The truth about world religions

    Do you have any references or an article, book, paper I could put my hands on?
  6. Author

    Huyu Twiga kwenye nembo ya TANESCO anamaanisha nini?

    TANNESCO: Tunaangaza Maisha Yako.
  7. Author

    Huyu Twiga kwenye nembo ya TANESCO anamaanisha nini?

    Tusaidiane, huu mchoro wa Twiga kwenye nembo ya TANNESCO unamaanisha nini!?
  8. Author

    Mgunda apewe ukocha wa kudumu pale Taifa Stars

    Wachezaji wa timu ya taifa watoke Zanzibar kwenye shule za mpira…Bara ni kichwa cha mwenda wazimu.
  9. Author

    Ndugu yangu kama upo kwenye hatua ya kujitafuta kimaisha hapa namanisha kiuchumi basi fanya hivi

    Title ya huu uzi inapaswa kua: ‘Jinsi ya kupunguza matumizi kwenye mahusiano’
  10. Author

    USHAURI: Mdogo wangu amekataa shule, nataka nimtafutie fani ya ufundi asiwe mzigo mbeleni

    Mtoto anakataaje shule kimasihara!! Weka Bakora, elimu at least ya form 4 ni muhimu.
  11. Author

    Tuwapatie Wahindi wizara za fedha na viwanda na biashara waamshe nchi

    Watanzania tonaongea sana tatizo.
  12. Author

    Tuwapatie Wahindi wizara za fedha na viwanda na biashara waamshe nchi

    Kama wangekua smart enough kwa sisi kuwapa nafasi serikalini basi wangekua huko kwao wakiwa na nafasi hizo.
  13. Author

    Je, umeionaje ngoma ya mapozi ya Diamond, Mr. Blue na Melody?

    Hamna hit hapo…ngoma mbovu
  14. Author

    Kwangu naona sasa mapenzi basi

    Angalia tena, bado hujaona.
  15. Author

    FT: Tanzania 1-1 Zambia | AFCON 2024| Laurent Pokou Stadium | 21.01.2024

    Haichezwi, unachezwa mpira.
Back
Top Bottom