Kwa kila tone!!...hatujafikia huko....
ILA...
Tanzania imepata takriban TZS bilioni 181 kupitia ada, kodi na ushuru mbalimbali katika hatua za mwanzo tu za utekelezaji wa mradi huu. Mpaka sasa mradi umefikia 55% ya utekelezaji.
Hili swali umeelekeza kwa Mamelody au kwa Simba?. Eleweka kwanza mkuu!
Kama vipi tuwaulize Mamelody kwanini wananunua kofia kwa bei kubwa...itakua utakatishaji fedha 😂
Ponjoro wewe unaandika na kujijibu...yaani unasema jezi za Mamelody zina bei mbaya na sababu unatoa na bado unalinganisha bei...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.